iqna

IQNA

Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu wasiopungua 1,000 wamefariki dunia na wengine 1,500 wamejeruhiwa katika msongamano wa mahujaji wakati wa kutekeleza ibada ya Hija huko Mina karibu na Makka.
Habari ID: 3367053    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/24

Khatibu wa Sala ya Idul Adh'ha iliyosaliwa Jumapili asubuhi kwenye viwanja vya Chuo Kikuu cha Tehran amesema kuwa, iwapo Waislamu wataitumia vizuri ibada ya Hija, wakaamka na kuzitambua vizuri njia za kukabiliana na adui, kamwe Umma wa Kiislamu hautadhalilishwa.
Habari ID: 1457592    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/06