IQNA – Mashindano ya 10 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa wanajeshi yalianza rasmi Makkah siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3480145 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/02
IQNA – Mamlaka za Sweden zinasema mtu aliyedhalilisha Qu'rani Tukufu katika nchi hiyo ya Kaskazini mwa Ulaya mara kadhaa ameuawa.
Habari ID: 3480134 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/31
Shirika la Kimataifa la Habari za Qur'ani (IQNA) imepata zawadi ya shirika bora la habari za kidini katika Maonyesho ya 21 ya Habari na Mashirika ya Habari mjini Tehran.
Habari ID: 3449242 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/14
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Ayatullahil Udhma Khamenei Ali Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inazinyooshea mkono wa urafiki serikali zote za Kiislamu za eneo na wala haina tatizo lolote na serikali za Kiislamu.
Habari ID: 3345403 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/18
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza juu ya udharura wa kutumiwa vyema sanaa ya mashairi kwa ajili ya kutoa miongozo kwa walengwa.
Habari ID: 3322405 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/02
Waislamu nchini Kenya wanataka vyombo vya habari nchini humo vifanye mabadiliko ya kimsingi kuhusu namna vinavyo tangaza habari kuhusu ugaidi na kuonya kuwa mfumo wa sasa usio wa kitaalamu wa kutangaza habari ni chanzo cha chuki dhidi ya Uislamu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
Habari ID: 2617613 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/11