Wanawake Afghanistan
TEHRAN (IQNA) - Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina Mohammed, na viongozi waandamizi wa Taliban nchini Afghanistan walifanya mazungumzo kuhusu haki za wanawake .
Habari ID: 3476442 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/21
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameutaja msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu mkabala wa wanaodai kinafiki kuwa wanatetea haki za wanawake wa Kimagharibi kuwa ni wa kudai na kuhujumu na akasema kuwa, Magharibi ya kisasa na utamaduni ulioporomoka wa Magharibi vina hatia katika suala hili na wametenda makosa na uhalifu dhidi ya utu na hadhi ya mwanamke.
Habari ID: 3476358 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/04
Wanawake Saudia
TEHRAN (IQNA) – Wanawake wameruhusiwa kuendesha treni zinazosafiri kati ya miji mitakatifu ya Makka na Madina nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476350 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/03
Hali ya Afghanistan
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imebainisha masikitiko yake kuhusu uamuzi wa utawala wa Taliban nchini Afghanistan kuwapiga marufuku wanawake kuendelea na elimu katika vyuo vikuu nchini humo.
Habari ID: 3476291 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/23
Hali ya Afghanistan
TEHRAN (IQNA) – Sheikhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri ameutaka utawala wa Taliban kuondoa marufuku ya elimu ya juu kwa wanawake nchini Afghanistan.
Habari ID: 3476290 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/23
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 6 la Mashindano ya Kimataifa la ya Qur’ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake yanaendelea huko Dubai, nchini UAE.
Habari ID: 3475874 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/03
Wanawake na Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Kongamano la kila mwaka la Qur’ani la Jumuiya ya Qur’ani ya Wanawake na Wasichana ya Gambia liliandaliwa ili kukuza vipaji vya kielimu miongoni mwa wanachama wa jumuiya hiyo.
Habari ID: 3475321 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/01
Siku ya Wanawake Duniani
TEHRAN (IQNA)- Leo tarehe 8 Machi inatambuliwa kuwa Siku ya Kimataifa ya Mwanamke. Pamoja na kuwa wanawake maeneo mengi duniani wanasherehekea siku hii kwa shangwe, huko Palestina hali ni tofauti kwani wanawake wanuawa kiholela na jeshi la utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475021 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/08
TEHRAN (IQNA)- Wataalamu wa haki za Umoja wa Mataifa wametaka kukomeshwa kwa mashambulizi ya mtandaoni "ya kuchukiza dhidi ya wanawake na ya kimadhehebu" dhidi ya mwanahabari Muislamu nchini India, wakiomba mamlaka kuchunguza unyanyasaji huo.
Habari ID: 3474966 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/23
TEHRAN (IQNA)- Washindi wa Duru ya Tano ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Wanawake Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wametangazwa.
Habari ID: 3474613 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/28
TEHRAN (IQNA)- Wawakilishi wa nchi takribani 50 wametangaza kuwa tayari kushiriki katika Duru ya Tano ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Wanawake Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE)
Habari ID: 3474566 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/16
TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu wametangaza kuwa, wanawake sasa wataruhusiwa tena kusali misikitini baada ya maeneo yao kufungwa kwa muda kutokana na janga la COVID-19.
Habari ID: 3474539 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/10
TEHRAN (IQNA)- Mwenyekiti wa msikiti mmoja mjini London amebainisha masikitiko yake kuhusu kuongezeka ubaguzi na bughudha dhidi ya wanawake Waislamu.
Habari ID: 3474522 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/06
TEHRAN (IQNA)-Kituo cha Qur’ani Tukufu kinachofungamana na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Ali AS huko Najaf, Iraq kimeandaa mafunzo ya Qur’ani kwa ajili ya wanawake .
Habari ID: 3474501 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/01
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ufalme wa Saudi Arabia Jumatatu imechapisha picha za walinzi wanawake wakiwa katika Msitiki Mtakatifu wa Makka, al-Masjid al-Ḥaram.
Habari ID: 3473835 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/20
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Qatar imetangaza mpango wa kuanzisha vituo zaidi vya kusomesha wanawake Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3473771 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/30
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma ujumbe maalumu kwa Kongamano la Taifa la "Jeshi la Malaika Walioweka Historia" lililoitishwa maalumu kwa ajili ya kuwaenzi wanawake waliouawa shahidi, majeruhi wa vita na walioachiliwa huru na kusema kuwa, wanawake hao wanamapambano na mashujaa wenye kujitolea katika njia ya haki, ni vilele bora vya fakhari za Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3473721 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/09
TEHRAN (IQNA)- Fainali ya kitengo cha wanawake katika Mashindano ya 37 Kimataifa ya Qur’ani ya Iran ilianza Jumapili.
Habari ID: 3473715 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/08
TEHRAN (IQNA) Wanawake Waislamu nchini Nigeria wamemtaka rais wa nchi hiyo Muhammadu Buhari na magavana wa majimbo watunge sheria za kuwaadhibu wale wanaowabagua wanawake Waislamu kwa sababu tu wamevaa Hijabu.
Habari ID: 3473624 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/05
Kiongozi Muadhamu wa mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria tofauti za kimsingi za mtazamo wa Uislamu na ulimwengu wa Magharibi mwa mwanamke na kusema kuwa,Uislamu na Jamhuri ya Kiislamu vinamtazama mwanamke kwa jicho la heshima ilihali mtazamo ulionea Magharibi kuhusu mwanamke ni wa kumtazama kiumbe huyu kama bidhaa na wenzo.
Habari ID: 3473616 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/03