iqna

IQNA

Familia za makumi ya Mahujaji wa Morocco walioaga dunia katika maafa ya Mina karibu na mji mtakatifu wa Makka wamesema wataishtaki serikali ya Saudi Arabia kutokana uzembe uliosababisha kuaga dunia na kutoweka jamaa zao.
Habari ID: 3382524    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/06