iqna

IQNA

Amnesty yalaani ukatili wa Israel
Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel wameishambulia hospitali katika wa Quds, inaoukalia kwa mabavu, baada ya wakuu wa hospitali hiyo kukataa kutoa taarifa kuhusu Wapalestina waliotibuwa hapo.
Habari ID: 3415418    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/30