iqna

IQNA

Mkutano wa tatu wa Siku ya Haki za Binadamu za Kiislamu na Heshima ya Mwanadamu umefanyika mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na Mkuu wa Vyombo vya Mahakama Iran, Ayatullah Amolo Larijani.
Habari ID: 3470502    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/07