hawza

IQNA

IQNA – Mkutano wa kwanza wa kimataifa wa kisayansi wa kuadhimisha milenia (miaka 1000) ya *Hawza ya Najaf umetangaza mapendekezo yake, ukisisitiza haja ya kuangazia nafasi ya wanazuoni na shakhsia za hawza hiyo katika historia ya fikra za Kiislamu.
Habari ID: 3481934    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/14

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Chuo cha kidini (Hawza) mjini Qum kinapaswa kubakia "Chuo cha Kimapinduzi na Chimbuko la Mapinduzi" na ili kufikia lengo hilo kuna haja ya kuwepo fikra, tadbiri na mpango wa kina."
Habari ID: 3470198    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/15