Jinai za utawala haramu wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Januari 19 inatambuliwa katika kalenda ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni "Siku ya Ghaza" kwa mnasaba wa kumbukumbu ya vita vya siku 22 vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza (Gaza) huko Palestina.
Habari ID: 3476430 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Zaidi ya nchi 90 zimeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel kuacha hatua za kuwaadhibu Wa palestina kufuatia ombi la Umoja wa Mataifa la kutaka maoni ya ushauri kutoka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ).
Habari ID: 3476415 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/17
Njama dhidi ya Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Mufti wa Oman Sheikh Ahmed bin Hamad al-Khalili amesema, mwenendo ulioanzishwa na baraza la mawaziri la utawala haramu wa Kizayuni lenye misimamo ya kufurutu ada wa kuuvamia Msikiti wa Al-Aqsa unamaanisha kutangaza vita dhidi ya Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3476409 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/15
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Afisa mmoja wa Palestina anasema takriban wakazi 13,000 Wa palestina katika mji wa al-Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu huenda wakalazimika kuyahama makazi yao kutokana na sera za utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3476398 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/13
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Waandishi habari wapatao hamsini na watano wa Ki palestina wameuawa na utawala katili wa Israel tangu mwaka 2000 ikiwa ni katika njama za utawala huo wa kikoloni za kuzuia habari za jinai zake dhidi ya Wa palestina kuwafikia walimwengu.
Habari ID: 3476384 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/11
Jinai za Isarel
TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa Wazi wa Kamati ya Utendaji ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Jumanne ulifanyika kuchunguza kuendelea hujuma za Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem), kwa ombi la Dola ya Palestina na Ufalme wa Jordan.
Habari ID: 3476381 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/10
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya Wazayuni wameandamana kupinga baraza jipya la mawaziri la Waziri Mkuu wa Israel lenye misimamo mikali. Baraza hilo jipya la Benjamin Netanyahu linatabiriwa kuanzisha sera hatari katika za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina la 'Israel'.
Habari ID: 3476375 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/08
Upinzani dhidi ya Israel
TEHRAN (IQNA)- Mufti Mkuu wa Oman ametangaza kuafiki na kuunga mkono mpango wa bunge la nchi hiyo wa kususiwa utawala haramu wa Israel unaotenda jinai kila uchao huko Palestina.
Habari ID: 3476339 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/01
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, kwa kupitisha azimio, limetaka maoni ya ushauri ya Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kuhusu namna utawala ghasibu wa Israel unavyokiuka haki ya Wa palestina ya kujitawala na kujiainishia hatima yao na utawala.
Habari ID: 3476338 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/01
TEHRAN (IQNA)- Baraza la Ushauri la Oman limeikabidhi Kamati wa Kutunga Sheria na Kulinda Haki ya nchi hiyo; muswada wa marekebisho ya kifungu cha 10 cha sheria ya kuharamisha na kupiga marufuku kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel ili upasishwe rasmi.
Habari ID: 3476320 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/28
Mapambano ya Wapalestina
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) nje ya nchi amewatolea mwito Wa palestina wa kudumisha umoja na mshikamano baina yao ili kukabiliana na serikali mpya ya utawala haramu wa Israel inayoongozwa na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu.
Habari ID: 3476310 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/26
Jinai za Isarel
TEHRAN (IQNA) - Takriban Wa palestina 74 waliokuwa wakishikiliwa katika jela za utawala wa Kizayuni wa Israel wamekufa shahidi kutokana na kunyimwa huduma kiafya.
Habari ID: 3476287 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/22
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiisalmu ya Palestina, Hamas, imetoa wito kwa Wa palestina kuzidisha uwepo wao katika eneo la Msikiti wa Al-Aqsa mjini Al Quds (Jerusalem) ili kulinda eneo takatifu dhidi ya uvamizi wa Israel na njama za kubadilisha hadhi yake.
Habari ID: 3476260 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/17
Kombe la Dunia Qatar
TEHRAN (IQNA) - Maelfu ya mashabiki Waislamu waliohudhuria mechi ya Morocco dhidi ya Ufaransa nchini Qatar walikariri tamko la Kiislamu la imani, au shahada, siku ya Jumatano, na kutuma ujumbe kwa Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron aliyekuwa uwanjani hapo.
Habari ID: 3476258 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/16
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mappambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas ilikaribisha kupitishwa kwa azimio la Umoja wa Mataifa linalotambua mamlaka ya Palestina juu ya maliasili katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3476256 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/16
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, anasema ardhi ya Palestina si mahala pa utawala vamizi na ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3476254 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/15
Kombe la Dunia Qatar
TEHRAN (IQNA) - Mwanaharakati, ambaye ameshuhudia uungwaji mkono kwa Palestina wakati wa Kombe la Dunia la 2022, anasema tukio linaonyesha kile kinachoitwa kuhalalisha utawala wa Israel "sio kudumu" kwa sababu "watu wanapinga. "
Habari ID: 3476229 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/10
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Hivi karibuni utawala wa Kizayuni wa Israel uliondoa kuba na hilali ya mnara wa Ngome ya al-Quds (Jerusalem), kusini-magharibi mwa Mji Mkongwe.
Habari ID: 3476217 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/08
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)-Jeshi katili la utawala haramu wa Israel limewaua shahidi vijana watatu wa Ki palestina katika mji wa Jenin, kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3476216 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/08
TEHRAN (IQNA) - Watu wamefanya maandamano katika maeneo tofauti ya Morocco ili kutoa maoni yao ya kupinga kuhalalisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3476209 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/06