Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe mwandamizi wa ofiisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, utawala haramu wa Israel unatumia vibaya udhaifu ambao umeugubika ulimwengu wa Kiarabu na hivyo kuudhibiti mji wa Quds (Jerusalem) na msikiti mtakatifu wa al-Aqsa ulio mjini humo.
Habari ID: 3475846 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/27
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Algeria, Abdelmadjid Tebboune alisema suala la Palestina ndilo suala la msingi kwa nchi yake.
Habari ID: 3475837 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25
Kadhia ya Quds
TEHRAN(IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameashiria mpango wa Uingereza wa kuuhamisha ubalozi ulioko Tel Aviv hadi Quds Tukufu(Jerusalem) na kueleza kuwa: hatua hiyo haibadili kivyovyote uhakika wa kihistoria.
Habari ID: 3475835 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/24
Palestina
TEHRAN (IQNA) – Jordan itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa kuhusu mji mtakatifu wa Al-Quds (Jerusalem) mwezi ujao.
Habari ID: 3475834 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/24
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) -Walowezi wa Kizayuni wakiwa wanalindwa na askari wengi wa utawala haramu wa Israel walivamia uwanja wa Msikiti wa Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) siku ya Jumapili, na kufanya ibada za kichochezi za Kiyahudi katika eneo hilo takatifu la Kiislamu
Habari ID: 3475808 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/19
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa, utawala ghasibu wa Israel umebomoa majengo 44 ya Wa palestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo ikiwa ni muendelezo wa siasa zake za unyakuzi wa ardhi za Palestinakinyume cha sheria.
Habari ID: 3475803 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/18
Upinzani wa Israel
TEHRAN (IQNA) - Majaji wa Algeria wamesusia mkutano wa kimataifa huko Tel Aviv, huku wakibainisha sababu ya hatua hiyo ni upinzani wao kwa mkakati wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475802 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/18
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Septemba 16, inasadifiana na kumbukumbu ya miaka 40 ya uhalifu wa Sabra na Shatila.
Habari ID: 3475794 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesisitiza kuwa, mapambano ya watu wa Palestina na Yemen ni muendelezo wa mapambano ya Ashura katika jangwa la Karbala mwaka 61 Hijria.
Habari ID: 3475790 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Kijana wa Ki palestina aliuawa shahidi wakati wa uvamizi wa wanajeshi katili wa Israel karibu na mji wa Jenin katika sehemu ya kaskazini ya Ukingo wa Magharibi.
Habari ID: 3475788 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/15
Mapambano ya Wapalestina
TEHRAN (IQNA) – Ujumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina ( Hamas ) umefanya mazungumzo na baadhi ya viongozi wa Kiislamu na Kikristo katika mji mkuu wa Russia, Moscow.
Habari ID: 3475786 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/15
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi vijana wawili wa Ki palestina kwa kuwapiga risasi kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3475782 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/14
Palestina
TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Wa palestina waliswali Sala ya jamaa ya Fajr (alfajiri) katika Msikiti wa Al-Aqsa ulio kaitka mji unaokaliwa kwa mabavu na Israel wa al-Quds (Jerusalem) siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3475757 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/09
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wamarekani wamefanya maandamano katika baadhi ya miji ya nchi hiyo wakilaani jinai na hatua za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wa palestina na hatua ya mashirika makubwa ya Google and Amazon kuunga mkono utawala huo.
Habari ID: 3475755 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/09
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palesitna HAMAS amezungumzia ripoti ya jeshi la utawala wa Kizayuni baada ya utawala huo katili kumuua shahidi mwandishi M palestina , Shireen Abu Akleh na sawa na Wa palestina wote, ametaka utawala huo dhalimu upewe adhabu kali.
Habari ID: 3475745 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/06
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeulaani utawala haramu wa Israel kwa kuruhusu kuandaliwa matamasha katika Msikiti Mkuu wa Beersheba (Biʾr as-Sab).
Habari ID: 3475727 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/03
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Jeshi katili la utawala haramu wa Israel limeua Wa palestina zaidi ya 110 na wengine wengi kujeruhiwa hadi sasa mwaka huu.
Habari ID: 3475723 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umeendeleza jinai na chokochoko zake dhidi ya mataifa mawili ya Waislamu katika eneo hili la Asia Magharibi.
Habari ID: 3475718 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/01
Kujipenyeza Wazayuni
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain amekosoa viikali uamuzi wa utawala wa Aal Khalifa wa kuanzisha kitongoji cha walowezi wa Kiyahudi katika mji mkuu Manama na kueleza kwamba, hatua hiyo ni jinai na dhulma ya wazi dhidi ya wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3475711 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/31
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kwa mujibu wa takwimu za hivi karibuni, utawala haramu wa Israel umewatia mbaroni zaidi ya wanawake 16,000 wa Ki palestina tangu mwaka 1967 huku mashirika ya haki yakionya kuhusu hali mbaya ya wafungwa wa kike katika jela za kuogofya za Israel.
Habari ID: 3475694 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/28