iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani yamezivutia familia nyingi huko Al-Quds (Jerusalem), katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3476102    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/17

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Wa palestina wanaendelea kulaani vikali njama za utawala haramu wa Israel za Kuyahudisha na kupotosha ukweli katika vitabu vya shule katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwamabavu na utawala huo.
Habari ID: 3476068    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/10

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kamati moja ya Palestina inasema utawala haramu wa Israel unajenga makaburi bandia karibu na Msikiti wa Al-Aqsa ili kughushi ushahidi katika siku zijazo.
Habari ID: 3476056    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/08

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) – Washiriki katika Mkutano wa Wakuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu nchini Algeria wamesisitiza ulazima wa kukomesha uvamizi wa utawala haramu wa Israel dhidi ya Palestina.
Habari ID: 3476028    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/03

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mwakilishi wa Kudumu wa Qatar katika Umoja wa Mataifa leo asubuhi amehutubia katika kikao cha kiduru cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kusema: Israel inapasa kuhitimisha hatua zake za kuzikalia kwa mabavu ardhi za Waarabu ikiwemo miinuko ya Golan huko Syria, ardhi za Lebanon na Palestina.
Habari ID: 3476023    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/02

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Mawaziri watano wa zamani wa Ulaya wamezitaja sera za utawala wa Israel dhidi ya Wa palestina kama "kosa la ubaguzi wa rangi".
Habari ID: 3476018    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/01

Kuhifadhi Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Katika sherehe katika ardhi ya Palestina ya Ukanda wa Gaza, wahifadhi 143 wa Qur’ani Tukufu wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyohudhuriwa na idadi kubwa ya watu na maafisa wa serikali.
Habari ID: 3476011    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/31

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambulia makazi ya Wa palestina katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu, na kuua shahidi Wa palestina sita.
Habari ID: 3475989    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/25

Umoja wa Wapalestina
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imekaribisha tangazo la maridhiano na umoja wa kitaifa baina ya makundi ya Palestina, ambalo lilitiwa saini hivi karibuni nchini Algeria.
Habari ID: 3475938    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/16

Mapambano dhidi ya Israel
TEHRAN (IQNA) - Mwanazuoni mmoja wa ngazi za juu wa Lebanon amelaani baadhi ya tawala za Kiarabu kwa kurejesha uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Israel, akisema makubaliano yao na Wazayuni hayana thamani yoyote ya kistratijia.
Habari ID: 3475882    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/05

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Mamlaka ya Palestina (PA) imeyataja maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo "mstari mwekundu".
Habari ID: 3475876    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/04

Kadhia ya al-Quds
TEHRAN (IQNA) - Wajumbe wote wa nchi za Kiarabu nchini Uingereza wameripotiwa kutoa wito kwa nchi hiyo kutohamisha ubalozi wake kutoka Tel Aviv hadi Al-Qud (Jerusalem) .
Habari ID: 3475863    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/01

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe mwandamizi wa ofiisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, utawala haramu wa Israel unatumia vibaya udhaifu ambao umeugubika ulimwengu wa Kiarabu na hivyo kuudhibiti mji wa Quds (Jerusalem) na msikiti mtakatifu wa al-Aqsa ulio mjini humo.
Habari ID: 3475846    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/27

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Algeria, Abdelmadjid Tebboune alisema suala la Palestina ndilo suala la msingi kwa nchi yake.
Habari ID: 3475837    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25

Kadhia ya Quds
TEHRAN(IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameashiria mpango wa Uingereza wa kuuhamisha ubalozi ulioko Tel Aviv hadi Quds Tukufu(Jerusalem) na kueleza kuwa: hatua hiyo haibadili kivyovyote uhakika wa kihistoria.
Habari ID: 3475835    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/24

Palestina
TEHRAN (IQNA) – Jordan itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa kuhusu mji mtakatifu wa Al-Quds (Jerusalem) mwezi ujao.
Habari ID: 3475834    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/24

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) -Walowezi wa Kizayuni wakiwa wanalindwa na askari wengi wa utawala haramu wa Israel walivamia uwanja wa Msikiti wa Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) siku ya Jumapili, na kufanya ibada za kichochezi za Kiyahudi katika eneo hilo takatifu la Kiislamu
Habari ID: 3475808    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/19

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa, utawala ghasibu wa Israel umebomoa majengo 44 ya Wa palestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo ikiwa ni muendelezo wa siasa zake za unyakuzi wa ardhi za Palestinakinyume cha sheria.
Habari ID: 3475803    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/18

Upinzani wa Israel
TEHRAN (IQNA) - Majaji wa Algeria wamesusia mkutano wa kimataifa huko Tel Aviv, huku wakibainisha sababu ya hatua hiyo ni upinzani wao kwa mkakati wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475802    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/18

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Septemba 16, inasadifiana na kumbukumbu ya miaka 40 ya uhalifu wa Sabra na Shatila.
Habari ID: 3475794    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16