iqna

IQNA

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani vikali kuendelea kupasishwa mipango ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kkwa mabavu za Palestina.
Habari ID: 3475640    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/18

Mapambano dhidi ya Israel
TEHRAN (IQNA) - Afisa wa harakati ya mapambano ya Jihad Islami ya Palestina anasema mapambano na muqawama dhidi ya utawala vamizi na ghasibu wa Israel yataendelea hadi ukombozi wa ardhi zote za Palestina.
Habari ID: 3475637    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/17

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Kampeni ya ‘Kujitolea kwa ajili ya Gaza’ imezinduliwa na Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Qatar.
Habari ID: 3475631    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umekiri kuwaua watoto watano Wa palestina katika hujuma yake ya hivi karibuni dhidi ya Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3475629    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16

Mapambano ya Palestina
TEHRAN(IQNA)- Mwakilishi wa harakati ya Jihad Islami ya kupigania ukombozi wa Palestina ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa uungajo mkono wake kwa taifa na harakai za mapamabo ya Palestina.
Habari ID: 3475612    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/12

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema maroketi na makombora kutoka Ukanda wa Gaza yaliwafanya walowezi wa Kizayuni wakimbilie mapangoni mwao kutafuta hifadhi na kulazimika kufanya mapataano na kusitisha mapigano.
Habari ID: 3475611    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/12

Mapambano dhidi ya Wazayuni
TEHRAN (IQNA)- Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu barua ya Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na kusema, "mapambano (muqawama) ya kishujaa ya Jihad Islami yatapelekea kupanda hadhi ya harakati hii katika mapambano sambamba na kusambaratisha hadaa za utawala wa Kizayuni na kuufedhehesha utawala huo."
Habari ID: 3475609    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/11

Ukatili wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Siku tatu za mashambulizi mutawalia ya utawala haramu wa Israel huko Gaza yalisababisha vifo vya raia Wa palestina 45 wakiwemo watoto 15 na wanawake wanne huku wengine 360 wakijeruhiwa.
Habari ID: 3475596    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/08

Mapambano dhidi ya Israel
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon wapigania ukombozi wa Palestina kwa kupata uthubutu na ujasiri wa kujibu jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wa palestina .
Habari ID: 3475594    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/08

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Idadi kubwa ya walowezi wa Kizayuni wenye itikadi kali waliuvamia na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) mapema Jumapili wakati utawala dhalimu wa Israel uikuwa ukiwashaambulia na kuwaua Wa palestina kwa mabomu huko Gaza kwa siku ya tatu mfululizo.
Habari ID: 3475592    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/07

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Idadi ya Wa palestina waliouliwa shahidi katika jinai zinazoendelea za utawala wa Kizayuni huko Gaza imeongezeka na kufikia watu 24 wakiwemo watoto wadogo sita.
Habari ID: 3475589    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/07

Ukatili wa Israel
TEHRAN (IQNA)-Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imevurumisha makombora zaidi ya 100 katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina la Israel ikiwa ni katika kulipiza kisasi hatua ya utawala katili wa Israel ya kumuua kamanda wa ngazi za juu wa harakati hiyo.
Habari ID: 3475586    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/06

Rais wa Iran katika mkutano na mkuu wa Jihadul-Islami
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi amesema, leo wananchi wa mataifa ya Kiislamu ya eneo wanauchukia mno utawala ghasibu wa Kizayuni na wanaamini kuwa Muqawama na au mapambano ya Kiislamu ndio njia kuu na ya msingi ya kukabiliana na utawala huo.
Habari ID: 3475582    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/05

Walowezi wa Kizayuni
TEHRAN (IQNA) – Mtoto wa Ki palestina alifariki dunia masaa mawili baada ya kupigwa risasi na walowezi wa utawala wa Kizayuni wa Israel waliokuwa na silaha siku ya Ijumaa karibu na kijiji cha Al-Mughayer, karibu na Ramallah katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3475558    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/30

Ubaguzi wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Afrika Kusini imeelezea wasiwasi wake juu ya ukatili unaoendelea wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wa palestina na kwa msingi huo imetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuitambua Israel kama taifa la apathaidi au ubaguzi wa rangi.
Habari ID: 3475554    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/29

Kususia utawala wa Kizayuni wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Wa palestina wamempongeza mmoja wa wanamichezo shujaa wa Algeria ambaye amekataa kwenda kucheza mpira katika ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel ikiwa ni kuendeleza harakati ya kimataifa ya kuunga mkono harakati za ukombozi wa Palestinaa na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475552    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/29

Njama za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mfalme wa Bahrain amemfuta waziri mwanamke wa nchi hiyo kwa kukataa kumpa mkono balozi wa utawala haramu wa Israel mjini Manama na kwa kupinga hatua ya kuanzisha ya uhusiano wa kawaida na utawala huo haramu.
Habari ID: 3475534    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/24

Ubaguzi wa rangi Israel
TEHRAN (IQNA)- Wabunge katika Bunge la Kitaifa la Ufaransa wametia saini rasimu ya azimio la kulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na sera zake za ubaguzi wa rangi au apatahidi na jinai za kivita dhidi ya Wa palestina .
Habari ID: 3475527    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/23

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mamia ya Wa palestina wamefanya maandamano katika eneo la kaskazini la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kupaza sauti zao za kupinga ziara ya Rais Joe Biden wa Marekani katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu yaliyopachikwa jina la Israe katika safari yake ya kwanza ya Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) kama rais wa Marekani.
Habari ID: 3475504    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/15

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Kundi moja la kutetea haki za binadamu limeutaka Umoja wa Mataifa kuushinikiza utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe sera za kutumia mabavu ambayo hupelekea idadi kubwa ya Wa palestina kupoteza maisha.
Habari ID: 3475503    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/14