Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Idadi kubwa ya walowezi wa Kizayuni wenye itikadi kali waliuvamia na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) mapema Jumapili wakati utawala dhalimu wa Israel uikuwa ukiwashaambulia na kuwaua Wa palestina kwa mabomu huko Gaza kwa siku ya tatu mfululizo.
Habari ID: 3475592 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/07
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Idadi ya Wa palestina waliouliwa shahidi katika jinai zinazoendelea za utawala wa Kizayuni huko Gaza imeongezeka na kufikia watu 24 wakiwemo watoto wadogo sita.
Habari ID: 3475589 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/07
Ukatili wa Israel
TEHRAN (IQNA)-Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imevurumisha makombora zaidi ya 100 katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina la Israel ikiwa ni katika kulipiza kisasi hatua ya utawala katili wa Israel ya kumuua kamanda wa ngazi za juu wa harakati hiyo.
Habari ID: 3475586 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/06
Rais wa Iran katika mkutano na mkuu wa Jihadul-Islami
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi amesema, leo wananchi wa mataifa ya Kiislamu ya eneo wanauchukia mno utawala ghasibu wa Kizayuni na wanaamini kuwa Muqawama na au mapambano ya Kiislamu ndio njia kuu na ya msingi ya kukabiliana na utawala huo.
Habari ID: 3475582 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/05
Walowezi wa Kizayuni
TEHRAN (IQNA) – Mtoto wa Ki palestina alifariki dunia masaa mawili baada ya kupigwa risasi na walowezi wa utawala wa Kizayuni wa Israel waliokuwa na silaha siku ya Ijumaa karibu na kijiji cha Al-Mughayer, karibu na Ramallah katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3475558 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/30
Ubaguzi wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Afrika Kusini imeelezea wasiwasi wake juu ya ukatili unaoendelea wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wa palestina na kwa msingi huo imetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuitambua Israel kama taifa la apathaidi au ubaguzi wa rangi.
Habari ID: 3475554 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/29
Kususia utawala wa Kizayuni wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Wa palestina wamempongeza mmoja wa wanamichezo shujaa wa Algeria ambaye amekataa kwenda kucheza mpira katika ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel ikiwa ni kuendeleza harakati ya kimataifa ya kuunga mkono harakati za ukombozi wa Palestinaa na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475552 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/29
Njama za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mfalme wa Bahrain amemfuta waziri mwanamke wa nchi hiyo kwa kukataa kumpa mkono balozi wa utawala haramu wa Israel mjini Manama na kwa kupinga hatua ya kuanzisha ya uhusiano wa kawaida na utawala huo haramu.
Habari ID: 3475534 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/24
Ubaguzi wa rangi Israel
TEHRAN (IQNA)- Wabunge katika Bunge la Kitaifa la Ufaransa wametia saini rasimu ya azimio la kulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na sera zake za ubaguzi wa rangi au apatahidi na jinai za kivita dhidi ya Wa palestina .
Habari ID: 3475527 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/23
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mamia ya Wa palestina wamefanya maandamano katika eneo la kaskazini la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kupaza sauti zao za kupinga ziara ya Rais Joe Biden wa Marekani katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu yaliyopachikwa jina la Israe katika safari yake ya kwanza ya Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) kama rais wa Marekani.
Habari ID: 3475504 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/15
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Kundi moja la kutetea haki za binadamu limeutaka Umoja wa Mataifa kuushinikiza utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe sera za kutumia mabavu ambayo hupelekea idadi kubwa ya Wa palestina kupoteza maisha.
Habari ID: 3475503 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/14
Uzayuni na Marekani
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaja safari ya Rais Joe Biden wa Marekanii katika eneo la Asia Magharibi (Mashariaki ya Kati) kuwa ni kielelezo cha kivitendo cha uungaji mkono kamili wa Washington kwa Tel Aviv na imeonya kuhusu hatari ya safari hiyo kwa eneo hilo na mapambano ya Palestina.
Habari ID: 3475502 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/14
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Mwanadiplomasia mwandamizi wa Umoja wa Ulaya ameelezea wasiwasi wake kuhusu uwezekano idadi kubwa ya Wa palestina kuhamishwa kwa nguvu kutoka eneo la mashambani katika Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475476 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/08
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kamati ya Kanisa la Presbyterian nchini Marekani imepitisha azimio la kutangaza Israeli utawala wa ubaguzi au apathaidi.
Habari ID: 3475457 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/03
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu wa Palestina Hamas imepongeza ripoti ya Ofisi ya Masuala ya Haki za Binadamu (UNOCHA) ambayo ilionyesha kuhusu madhara ya mzingiro wa utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza..
Habari ID: 3475456 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/03
Jinai za Wazayuni
TEHRAN (IQNA)- Mabadiliko yoyote ambayo utawala haramu wa Israel unapanga kutekeleza katika hali ya miongo kadhaa iliyopita katika ukuta wa eneo lote Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) yanaweza kuzua vita vya kidini katika eneo hilo.
Habari ID: 3475451 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/02
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala katili wa Israel wamempiga risasi na kumuua kijana wa Ki palestina walipokuwa wakivamia sehemu ya kaskazini ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huku hali ya wasiwasi ikiongezeka katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na utawala huo katika wiki za hivi karibuni.
Habari ID: 3475443 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/29
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa Israel wamemuua kijana wa Ki palestina wakati wa kukamatwa katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu
Habari ID: 3475423 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/25
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa umesema uchunguzi umebaini kuwa , Shireen Abu Akleh, mwandishihabari M palestina wa televisheni ya al-Jazeera ya Qatar aliuawa kwa kupigwa risasi na vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475420 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24
Muqawama (Mapambano ya Kiislamu)
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon katika mji mkuu wa nchi hiyo Beirut.
Habari ID: 3475418 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24