iqna

IQNA

Baraza la Kizayuni la mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu limepitisha mpango wa kuyavunjia heshima na kuyabomoa makaburi ya Waislamu katika mji huo.
Habari ID: 3328606    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/15

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema Iran ndio nchi pekee inayounga mkono ukombozi wa ardhi zote za Palestina na Quds Tukufu.
Habari ID: 3326617    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/11

Ali Larijani
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, Ali Larijani amesema lengo kuu la nchi za Magharibi ni kuangamiza Uislamu na njama hiyo ilianzishwa Palestina.
Habari ID: 3326323    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/11

Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran mwaka huu yamekuwa makubwa na mapana zaidi kuliko miaka iliyopita.
Habari ID: 3326322    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/11

Moja ya mafanikio makubwa ya Mapinduzi ya Kiislamu ni kuifanya kadhia ya Palestina kuwa kadhia nambari moja katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3325960    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/09

Taasisi ya Dar-ul-Qur’an na Sunnah katika Ukanda wa Ghaza imewaenzi wakaazi 1000 wa eneo hilo walio hifadhi Qur’ani kikamilifu.
Habari ID: 3325720    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/07

Jumuiya ya Waislamu wa Kishia Tanzania, AfroShia Muslim Community, inapanga maandamano ya amani kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Quds kwa lengo la kulaani jinai dhidi ya Wa palestina na pia kuunga mkono jitihada za amani duniani.
Habari ID: 3322431    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/03

Ayatullah Muhsin Araki
Waislamu duniani wametakiwa wasisahau kadhia ya kupigania ukombozi wa Palestina katika kipindi hiki ambapo wengi wanajishughulisha na tatizo sugu la ugaidi na jinai zinazotekelezwa na kundi la kigaidi na kitakifiri la Daesh au ISIS.
Habari ID: 3322212    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/01

Wanamaji wa jeshi la utawala haramu wa Israel wameiteka nyara meli ya misaada ya Sweden iliyokuwa imebeba misaada ya Wa palestina walio katika eneo linalozingirwa la Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3321135    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/29

Mkuu wa Kamati Kuu ya Kiislamu ya Palestina amewataka Waislamu wahudhurie kwa wingi katika msikiti mtukufu wa al Aqsa wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3314849    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/16

Katika hatua ya kushangaza, Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekataa kuuoredhesha utawala haramu wa Israel na ambao unaendelea kuua watoto wa Ukanda wa Gaza, katika orodha ya tawala zinazovunja haki za watoto duniani.
Habari ID: 3312923    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/10

Jeshi la Utawala haramu wa Israel limewaua watoto wapatao 980 katika hujuma zake za hivi karibuni katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3311464    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/07

Wa palestina katika Ukanda wa Ghaza wameandaa hafla kadhaa kwa mnasaba wa wiki ya kupinga ubaguzi unaotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 2921399    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/03

Walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Baitul Maqdis.
Habari ID: 2891642    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/24

Chama tawala cha ANC nchini Afrika Kusini kimetangaza kuendeleza sera ya kuunga mkono mapambano ya Wa palestina ambao wanapigania kuikomboa ardhi yao inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 2822420    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/08

Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameagiza kubomolewa nyumba mpya 400 za raia wa Palestina wa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 2822419    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/08

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kadhia ya Palestina ndiyo yenye umuhimu mkubwa zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu na kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaendelea kusimama kidete hadi pale malengo ya Palestina yatakapotimia na hapana shaka kuwa vijana watashuhudia siku hiyo.
Habari ID: 2770295    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/27

Waislamu na hata wasiokuwa Waislamu duniani wanaendelea kulaani kitendo cha hivi karibuni cha jarida moja la Ufaransa la Charlie Hebdo kuchora vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtumu Mtukufu wa Uislamu, Mohammad SAW.
Habari ID: 2766561    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/26

Umoja wa Mataifa umeulaumu vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuendelea kubomoa nyumba za Wa palestina katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi na kusema kuwa, kitendo hicho ni ukiukaji wa haki za kimsingi kabisa za binadamu.
Habari ID: 2615266    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/05

Bunge la Uhispania na Rais wa Slevonia wameunga mkono suala la kutambuliwa rasmi dola la Palestina. Hatua hii inakuja katika wimbi la uungaji mkono wa dola la Palestina.
Habari ID: 1475315    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/19