iqna

IQNA

Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetaka washtakiwe wakuu wa kijeshi na kisiasa wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutenda jinai dhidi ya binadamu.
Habari ID: 1455018    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/28

Ali Larijani
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani bunge la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inataka kuimarisha umoja, udugu na mwamko wa Kiislamu katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 1448576    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/09

Ayatullah Mohsen Araqi
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu Ayatullah Mohsen Araqi ameashiria ufanisi wa mapambano ya watu wa Palestina mbele ya hujuma ya utawala wa Kizayuni katika vita vya hivi karibuni vya Ghaza.
Habari ID: 1448558    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/09

Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Isalmi ya Palestina
Ramadhan Abdullah Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ulipata pigo la kistratijia hivi akribuni katika vita vyake vya siku 51 dhidi ya Wa palestina katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 1448553    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/09

Ali Larijani
Ali Larijani Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani Bunge amesema , leo taifa la Iran linafakhari kuwa, kwa uwezo wake wote limeweza kulisaidia taifa la Palestina katika kipindi chake kigumu zaidi.
Habari ID: 1443997    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/28

Maelfu ya Wa palestina katika Ukanda wa Gaza wameendelea kusherehekea kufikiwa makubaliano ya muda mrefu kuhusu usitishaji mapigano kati ya makundi ya muqawama na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 1443936    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/27

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitaka jamii ya kimataifa na hususan mashirika ya misaada ya kibinadamu kuushinikiza utawala wa Kizayuni uache kuuzingira Ukanda wa Ghaza na uruhusu misaada ya kibinadamu iwafikie wakazi wa ukanda huo uliozingirwa kila upande.
Habari ID: 1440685    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/18

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unapaswa kulipa fidia ya jinai zake huko Ghaza kwa kuondoa mzingiro dhidi ya Wa palestina katika ukanda huo wa pwani.
Habari ID: 1439233    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/14

Rais Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Waislamu katika Ukanda wa Ghaza hatimaye watapata ushindi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kwamba Iran daima itasimama pamoja mataifa yote yanayodhulimiwa wakiwemo Wa palestina , Wairaqi na Wasyria.
Habari ID: 1436787    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/06

Makubaliano ya muda ya usitishwaji vita yameanza kutekelezwa katika Ukanda wa Ghaza baada ya utawala ghasibu wa Israel kulazimika kukubali masharti ya wanamapambano wa Ki palestina ya kuondoa majeshi yake katika ukanda huo.
Habari ID: 1436767    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/06

Jeshi la utawala haramu wa Israel limeendeleza mauaji ya umati katika eneo la Ukanda wa Ghaza hii leo kwa siku ya 28 mtawalia na kuifanya idadi ya mashahidi wa hujuma hiyo kukaribia 2,000.
Habari ID: 1435964    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/04

Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuendelea kimya na kutojali Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC ndio chanzo kikuu ambacho kimeufanya utawala wa Kizayuni wa Israel uendelee kupata kiburi cha kuendeleza jinai zake dhidi ya Wa palestina katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 1435944    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/04

Duru za habari katika Ukanda wa Ghaza zinaarifu kuwa, karibu Wa palestina 1,700 wameshauawa shahidi katika jinai za siku 27 mtawalia za utawala huo katili wa Kizayuni kwenye ukanda huo.
Habari ID: 1435159    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/02

Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, 'ulimwengu wa Kiislamu kwa kuweka kando hilitalfu zilizopo, utumie uwezo wake wote kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya Wa palestina katika Ukanda wa Ghaza.'
Habari ID: 1434650    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/29

Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kwamba, ulimwengu wa Kiislamu unapasa kuipatia kipaumbele kikubwa kadhia ya Ghaza.
Habari ID: 1434649    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/29

Baada ya kumalizika muhula wa usitishwaji vita wa muda katika Ukanda wa Ghaza, utawala wa Kizayuni wa Israel umeanzisha tena hujuma zake za kinyama dhidi ya eneo hilo la Wa palestina .
Habari ID: 1433806    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/27

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa, harakati hiyo itaendelea kuwaunga mkono wananchi madhlum wa Palestina na muqawama wao na kwamba harakati hiyo haitasita hata kidogo kutoa msaada wowote unaohitajika katika kupambana na adui Wazayuni.
Habari ID: 1433637    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/26

Leo inasadifiana na Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ambayo ni Siku ya Kimataifa ya Quds. Hii ni siku ya kupata nguvu upya taifa madhulumu la Palestina na ni siku ambayo inaunganisha nguvu za umma mzima wa Waislamu na kila mpenda haki duniani katika kupambana na utawala wa kibaguzi wa Kizayuni.
Habari ID: 1433171    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/25

Kiongozi Muadhamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kwamba, njia pekee ya kukabiliana na utawala wa kinyama wa Israel, ni kuwepo muqawama wa kutumia silaha wa Wa palestina na kupanuka wigo huo wa mapambano hadi kwenye eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 1433169    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/25

Hatimaye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Julai 20 lilivunja kimya chake na kudai kuwa linasikitishwa na idadi kubwa ya raia wanaouliwa na kujeruhiwa huko Ukanda wa Ghaza na kutaka kusimamishwa mara moja kile ilichokitaja kuwa ni uhasama.
Habari ID: 1432292    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/22