iqna

IQNA

Idadi ya Wa palestina waliouawa shahidi katika mashambulizi ya kikatili yaliyofanywa na jeshi vamizi la Israel katika eneo la Shujaiyya huko Ghaza imepindukia watu 100 na zaidi ya 200 wengine kujeruhiwa.
Habari ID: 1431786    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/21

Utawala haramu wa Israel umezidisha jinai zake dhidi ya Wa palestina wasio na ulinzi kwa kuanzisha hujuma ya kijeshi ya nchi kavu katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 1430956    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/19

Utawala haramu wa Israel unaendeleza jinai zake za kinyama katika Ukanda wa Ghaza ambapo mbali na kuwaua shahidi Wa palestina wakiwemo wanawake na watoto pia utawala huo umebomoa misikiti, nyumba, na mahospitali katika eneo hilo la Palestina.
Habari ID: 1429748    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/14

Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema matatizo wanayokumbana nayo Waislamu hivi sasa ni matokeo ya kutoyazingatia mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 1428807    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/13

Rais Hassan Rouhani
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kwa viongozi wa nchi zote za Kiislamu duniani na kusisitiza kwamba ulimwengu wa Kiislamu unapasa kuchukua hatua madhubuti za kuhakikisha unakomesha haraka iwezekanavyo mzingiro wa kidhulma uliowekwa na Wazayuni dhidi ya wananchi wa eneo la Ukanda wa Ghaza
Habari ID: 1428175    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/11

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetoa wito kwa taifa la Palestina kuuhami na kuulinda Msikiti wa Al Aqsa.
Habari ID: 1395102    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/14

Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imesema itaunga mkono ombi la Palestina kwa Umoja wa Mataifa kujiunga na na mikataba 15 ya kimataifa.
Habari ID: 1390963    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/06

Sambamba na majeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuendeleza migogoro katika ardhi za Palestina kwa kuushambulia Msikiti wa kihistoria wa al Aqsa, Uri Ariel Waziri wa Makazi wa utawala huo ghasibu ameukoleza zaidi mgogoro huo kwa kuingia ndani ya msikiti mtakatifu wa al Aqswa.
Habari ID: 1388191    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/17

Kundi la kutetea haki za binadamu la Palestina limetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umepiga marufuku adhana katika jela zake wanakoshikiliwa maelfu ya Waislamu wa Ki palestina .
Habari ID: 1377228    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/19