iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Waislamu nchini Nigeria wamemtaka wazili wa elimu nchini humo Adamu Adamu aingilie kati kuzuia kusumbuliwa wasicana Waislamu wanaochagua kuvaa Hijabu shuleni.
Habari ID: 3474646    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/06

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky amezungumza kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa sita wa kumbukumbu ya mauaji ya halaiki yaliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo katika mji wa Zaria jimboni Kaduna, dhidi ya wanachama wa harakati hiyo.
Habari ID: 3474642    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/05

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wa kundi la ISIS au Daesh wameua askari saba wa Jeshi la Nigeria kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3474639    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/04

TEHRAN (IQNA)- Viongozi wa Kiislamu katika jimbo la Oyo nchini Nigeria wameapa kupigania haki za wasichana Waislamu kuvaa Hijabu.
Habari ID: 3474591    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/23

TEHRAN (IQNA)- Maafisa wa polisi nchini Nigeria wametangaza habari ya kuuawa Waislamu 18 waliokuwa wanasali Msikitini huko kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3474476    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/26

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Nigeria limethibitisha habari ya kuangamizwa kinara wa genge la kigaidi la Daeshi au ISIS kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3474427    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/15

TEHRAN (IQNA)-Waislamu katika mji wa Abuja, Nigeria wamepokea chanjo ya COVID-19 nje ya msikiti baada ya Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3474406    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/10

TEHRAN (IQNA)-Tume ya Kiislamu ya Haki za Binadamu (IHRC) imelaani vikali hujuma ya askari wa Nigeria dhidi ya matembezi ya amani ya Siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS Jumanne katika mji mkuu wa nchi hiyo, Abuja.
Habari ID: 3474363    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/30

Polisi Nigeria jana Jumanne iliwashambulia waombolezaji waliokuwa katika marasimu ya siku ya arobaini ya mjukuu wa Mtume wa Uislamu, Imam Hussein AS na kuuwa shahidi Waislamu wasiopungua wanane.
Habari ID: 3474361    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/29

Katika mahojiano ya kwanza tokea aachiliwe huru
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky amesema waliowengi nchini humo wataunga mkono mfumo wa utawala wa Kiislamu iwapo watapewa hiari ya kuchagua.
Habari ID: 3474360    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/29

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe, Malama Zeenah Ibrahim, wanaonekana kuwa chini ya aina fulani ya kizuizi cha nyumbani.
Habari ID: 3474234    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/28

TEHRAN (IQNA)- Askari polisi nchini Nigeria Alkhamisi waliwashambulia waombolezaji katika kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein (AS) na kuua watu watatu na kujeruhi wengine wasiopungua 12.
Habari ID: 3474211    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/21

TEHRAN (IQNA)- Sekta ya bidhaa na huduma ‘Halal’ duniani ina thamani ya zaidi ya dola trilioni 3 na inawakilisha moja ya sekta zenye mustakabali mwema.
Habari ID: 3474193    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/15

Katika mkutano na Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Iran na Nigeria zimekuwa zishikishirikiana vyema katika nyanja mbalimbali.
Habari ID: 3474164    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/06

TEHRAN (IQNA)- Mahakama Kuu ya Jimbo la Kaduna nchini Nigeria Jumatano ilifutilia mbali tuhuma zote alizobambikiziwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na mkewe, na kutoa amri ya kuachiliwa kwao mara moja.
Habari ID: 3474142    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/30

TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria jana usiku iliripoti taarifa ya kutolewa hukumu ya kuachiwa huru Sheikh Zakzaky na mkewe.
Habari ID: 3474137    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/29

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) imesema kiongozi wa harakati hiyo aliye gerezani, Sheikh Ibrahim Zakzaky, daima amekuwa akipigania Nigeria iliyoungana kama taifa moja.
Habari ID: 3474070    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/04

TEHRAN (IQNA)- Wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) wamefanya maandamano nchini humo wakitaka kuachiwa huru bila ya masharti yoyote mwanazuoni huyo mtajika.
Habari ID: 3474033    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/23

TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya wanafunzi 80 Waislamu nchini Nigeria wametekwa nyara katika shambulizi la watu waliokuwa na silaha huko Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo inayokumbwa na ukosefu wa usalama.
Habari ID: 3474018    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/18

TEHRAN (IQNA) – Kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) Afrika Magharibi, ISWAP, limethibitisha katika ujumbe wa sauti kwamba kinara wa kundi la kigaidi la Boko Haram la Nigeria, Abubakar Shekau amejiua na kuelekea jongomeo.
Habari ID: 3473987    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/07