iqna

IQNA

Tuko katika mwezi wa Muharram ambao unahuisha na kurejesha akilini kumbukumbu ya mapambano adhimu na yenye adhama. Muharram ni mwezi uliofungamana na jina la Hussein Ibn Ali (AS) na harakati isiyo na mbadala ya mtukufu huyo katika ardhi ya Karbala.
Habari ID: 3391638    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/22

Takribani watu milioni 20 wamewasili Karbala kwa ajili ya kushiriki katika Arubaini ya Imam Husain AS. Mkuu huyo wa mkoa wa Karbala amesema kuwa hii ni mara ya kwanza kabisa kumiminika watu kiasi chote hicho katika historia ya ziara za Imam Husain AS.
Habari ID: 2617895    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/13

Waziri wa Ulinzi wa Iraq amesema kuwa, wafanyaziara milioni 17.5 wamekusanyika katika mji mtukufu wa Karbala kwa ajili ya kushiriki maombolezo ya siku ya Arubaini ya Imam Hussein (A.S).
Habari ID: 2617814    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/12

Sayyid Hassan Nasrallah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa watu wanaofikiri kwamba kwa kuanzisha vita vya kisaikolojia na vitisho wataweza kuzuia kufanyika maombolezo ya Aba Abdillah Imam Hussein AS wanajidanganya, kwani vitisho hivyo havitawatenganisha na Imam Hussein AS.
Habari ID: 1463834    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/26