iqna

IQNA

karbala
Ashura
TEHRAN (IQNA) – Mwamko Ashura ni kielelezo cha kipekee cha mapambano dhidi ya mifumo mbovu ya kisiasa na njia mbovu za utawala.
Habari ID: 3475587    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/06

TEHRAN (IQNA) Kundi la wasomaji na wanaohifadhi Qur’ani Mauritania wametembelea Haram Takatifu ya Imam Hussein AS mjini Karbala, Iraq.
Habari ID: 3474571    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/17

KARBALA (IQNA)- Jumba la Makumbusho la Haram ya Imam Hussein AS katika mji wa Karbala limefunguliwa.
Habari ID: 3474481    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/27

TEHRAN (IQNA)- Kongamano la Kimataifa la ‘Arubaini, Umaanawi na Fadhila za Kiakhlaqi’ limefanyika katika mji wa Karbala.
Habari ID: 3474354    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28

TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa mkoa wa Karbala nchini Iraq wamesema kuwa, takwimu za awali zinaonesha kwamba wafanya ziara ya Arubaini ya Imam Husain AS mwaka huu katika Haram ya mtukufu huyo ni zaidi ya watu milioni 14.
Habari ID: 3474347    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/27

TEHRAN (IQNA)- Makumi ya maelefu ya waombolezaji, aghalabu wakiwa ni Waislamu wa madhehebu ya Shia, kutoka Iraq na mataifa mengine duniani wamefika au wanaelekea Karbala kwa ajili ya kumbukumbu ya Siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474333    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/24

TEHRAN (IQNA)- Kituo kimoja cha Qur’ani nchini Iraq kinatoa mafunzo ya qiraa sahihi ya Qur’ani tukufu kwa wanaoshiriki katika matembezi na ziara ya siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474322    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/21

TEHRAN (IQNA)- Awamu ya 5 ya Kongamano la Kimataifa la Arubaini ya Imam Hussein AS limefanyika kwa muda wa siku mbili mjini Karbala Iraq.
Habari ID: 3474291    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/13

TEHRAN (IQNA)- Wakaazi wa mji wa Basra kusini mwa Iraq wameanza matembezi ya kuelekea katika mji mtakatifu wa Karbala kushiriki katika Ziyara ya Arobaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474268    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/07

TEHRAN (IQNA)- Kufahamu historia na yaliyopita kunapaswa kumpelekea mwanadamu aweze kutafakari na kujitayarisha kwa ajili ya kujenga mustakabali mwema.
Habari ID: 3474207    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/19

TEHRAN (IQNA)- Leo ni Siku ya Ashura. Siku kama ya leo miaka 1382 iliyopita kulingana na kalenda ya Hijria, moja kati ya vita mashuhuri katika historia ya Kiislamu na ya mwanadamu, vilitokea baina ya majeshi ya haki na batili katika ardhi ya Karbala huko Iraq.
Habari ID: 3474205    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/19

Katika mkesha Tasu'a ya Imam Hussein AS, waislamu, hasa wa Madhehebu ya Shia wameghiriki katika maombolezo kwa mnasaba wa siku hii.
Habari ID: 3474202    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/18

TEHRAN (IQNA)- Kuna msema usemao "Kila siku ni Ashura na kila ardhi ni Karbala." Lakini maana yake ni nini haswa?
Habari ID: 3474183    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/12

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho maalumu yamezinduliwa katika eneo la Rey, kusini mwa Tehran kwa lengo la kuonyesha vifaa vinavyotumika katika maombolezo ya Muharram.
Habari ID: 3474166    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/07

TEHRAN (IQNA) - Idadi kubwa ya Wairaki wametembea kwa miguu kutoka mji wa Karbala kuelekea Najaf kwa lengo la kushiriki katika shughuli ya maombolezo na kukumbuka tukio chungu la kuaga dunia Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3473262    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/15

TEHRAN (IQNA) - Wairaki zaidi ya milioni moja wamewasili katika Haram ya Imam Husain AS huko Karbala kuwawakilisha mamilioni ya wapenzi wa Watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume Muhammad SAW ambao mwaka huu wameshindwa kwenda Iraq kushiriki kumbukumbu hizo kutokana na corona.
Habari ID: 3473241    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/08

TEHRAN (IQNA)- Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amezungumza katika mkesha wa Siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS na kukumbusha kuhusu jinai za mtawala wa zamani wa Iraq, Saddam, dhidi ya wafanyaziara wa Siku ya Arubaini.
Habari ID: 3473240    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/08

TEHRAN (IQNA) - Waislamu, aghalabu wakiwa ni wa madhehebu ya Shia, kutoka kila kona za Iraq wako katika matembezi ya wiki kadhaa ya kuelekea katika mji mtakatifu wa Karbala kwa ajili ya maadhimisho ya Arobaini ya Iman Hussein AS.
Habari ID: 3473232    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/05

TEHRAN (IQNA) - Kama miaka iliyopita, Waislamu, aghalabu wakiwa ni wa madhehebu ya Shia, wameanza matembezi ya kuelekea katika mji mtakatifu wa Karbala kwa ajili ya maadhimisho ya Arobaini ya Iman Hussein AS.
Habari ID: 3473225    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/03

Idadi kubwa ya wapenzi na waombolezaji wa Imam Hussein AS wameanza kutembea kwa miguu kutoka maeneo ya kusini mwa Iraq wakielekea Karbala kwa ajili ya maadhimisho ya Arobaini ya mtukufu huyo katika mwezi huu wa Safar.
Habari ID: 3473195    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/23