IQNA – Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq, imezindua Msahafu wa katika hafla iliyofanyika siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3480322 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/07
IQNA – Qari Rahim Sharifi kutoka Iran alisoma Qur’ani katika toleo la pili la Shindano la Kimataifa la Kisomo cha Qur’an la Al-Ameed, ambalo linaendelea katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq. Sharifi anatoka mji wa Ramhormoz katika mkoa wa kusini-magharibi wa Khuzestan.
Habari ID: 3480311 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/05
IQNA – Raundi ya mwisho ya toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Usomaji wa Qurani ya Al-Ameed ilizinduliwa katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq na kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480295 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/03
IQNA – Zaidi ya wafanyaziara milioni tano kutoka Iraq na nchi nyingine walitembelea mji mtakatifu wa Karbala kwa ajili ya Idi ya Shaaban Ijumaa, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3480223 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/15
IQNA – Kituo cha kujifunza Qur'ani kwa wafanyaziara waliofika Karbala wakati wa sherehe za Nisf-Shaaban kilivutia wengi katika mji huo mtukufu.
Habari ID: 3480215 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/14
IQNA – Mkutano wa mashauriano kati ya Dar ol-Quran wa Haram Takatifu wa Imam Hussein (AS) na wanazuoni wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu jijini Najaf ulifanyika ili kujiandaa kwa Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3480026 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10
IQNA – Kozi ya pili ya mafunzo kuhusu "Misingi ya Vyombo vya Habari vya Qur'ani" ilifanyika katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480021 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08
Harakati za Qur'ani
IQNA – Mkutano ulifanyika katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq, wikendi hii iliyopita kujadili maandalizi ya mwisho kwa ajili ya “Siku ya Dunia ya Qur'ani”.
Habari ID: 3480016 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/07
IQNA – Idadi kubwa ya wafanyaziara walikusanyika katika eneo la Bayn al-Haramayn huko Karbala usiku wa Alhamisi ya kwanza ya mwezi wa Rajab, ikifanana na Laylat al-Raghaib, inayojulikana pia kama Usiku wa Matamanio.
Habari ID: 3479998 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/03
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Haram Tukufu ya Hadhrat Al-Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imetangaza rasmi mchakato wa usajili wa toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kimataifa ya Al-Ameed ya Kusoma Qur’ani.
Habari ID: 3479944 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23
Harakati za Qur'ani
IQNA - Kozi tatu za kimataifa za mtandaoni zinazojumuisha masomo ya Qur’ani Tukufu zimeandaliwa huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3479900 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/15
Harakati za Qur'ani
IQNA - Kozi ya Qur'ani Tukufu iliyofanyika kwa wanawake kutoka Mkoa wa Babil wa Iraq ilifikia tamati kwa sherehe iliyofanyika katika mji mtakatifu wa Karbala.
Habari ID: 3479817 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/27
Harakati za Qur'ani
IQNA – Kikao maalum cha Qur'ani kimefanyika katika Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq na kuhudhuriwa na zaidi ya wafanyaziara elfu moja.
Habari ID: 3479795 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/23
Harakati za Qur'ani
IQNA - Kituo cha Da-ul-Quran cha Idara ya Mfawidhi wa Kaburi Takatifu la Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq kinapanga kuandaa kozi za mtandaoni za Qur'ani kwa wahitimu wa vyuo vikuu katika fani tofauti za sayansi ya Qur'ani
Habari ID: 3479187 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/26
Matukio ya Imam Hussein (AS)
Kiongozi wa Kikristo wa Lebanon anasema uasi wa Imam Hussein (AS) unaenda zaidi ya dini kwani unawasilisha maadili ya binadamu kwa wote.
Habari ID: 3479169 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/22
IQNA - Baraza la Mkoa wa Karbala lilitangaza kuwa takriban mazuari milioni 6 walishiriki katika ibada za maombolezo katika siku ya Ashura katika mji mtakatifu wa Karbala siku ya Jumatano.
Habari ID: 3479145 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/19
Mtukio ya Karbala
Mji mtakatifu wa Karbala katika mkesha wa Ashura ulikuwa na mazuari mamilioni ya Wafanya Ziyara wakiomboleza kuuawa shahidi Imam Hussein (AS) na masahaba zake.
Habari ID: 3479140 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/17
Imam Ali (AS) Najaf, Iraq,
Siku ya Ashura inapokaribia, ua wa haram tukufu ya Imam Ali (AS) huko Najaf, Iraq, ulifunikwa na zulia jekundu.
Habari ID: 3479122 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/14
Qur’ani Tukufu
Msafara wa Qur'ani Tukufu wa Arobaini wa Iran utakuwa na wanachama zaidi ya 100, wakiwemo makaris wanaume na wanawake, huku karibu makari na wanaharakati 300 wakuu wakikamilisha kujiandikisha kwa tukio hilo.
Habari ID: 3479117 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/13
Karbala
Moja ya malengo ya mapinduzi ya Imam Hussein (AS) lilikuwa ni kuamrisha mema na kukataza maovu.
Habari ID: 3479115 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/13