karbala - Ukurasa 3

IQNA

IQNA – Idadi kubwa ya wafanyaziara walikusanyika katika eneo la Bayn al-Haramayn huko Karbala usiku wa Alhamisi ya kwanza ya mwezi wa Rajab, ikifanana na Laylat al-Raghaib, inayojulikana pia kama Usiku wa Matamanio.
Habari ID: 3479998    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/03

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Haram Tukufu ya Hadhrat Al-Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imetangaza rasmi mchakato wa usajili wa toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kimataifa ya Al-Ameed ya Kusoma Qur’ani.
Habari ID: 3479944    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23

Harakati za Qur'ani
IQNA - Kozi tatu za kimataifa za mtandaoni zinazojumuisha masomo ya Qur’ani Tukufu zimeandaliwa huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3479900    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/15

Harakati za Qur'ani
IQNA - Kozi ya Qur'ani Tukufu iliyofanyika kwa wanawake kutoka Mkoa wa Babil wa Iraq ilifikia tamati kwa sherehe iliyofanyika katika mji mtakatifu wa Karbala.
Habari ID: 3479817    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/27

Harakati za Qur'ani
IQNA – Kikao  maalum cha Qur'ani kimefanyika katika Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq na kuhudhuriwa na zaidi ya wafanyaziara elfu moja.
Habari ID: 3479795    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/23

Harakati za Qur'ani
IQNA - Kituo cha Da-ul-Quran cha Idara ya Mfawidhi wa Kaburi Takatifu la Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq kinapanga kuandaa kozi za mtandaoni za Qur'ani kwa wahitimu wa vyuo vikuu katika fani tofauti za sayansi ya Qur'ani
Habari ID: 3479187    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/26

Matukio ya Imam Hussein (AS)
Kiongozi wa Kikristo wa Lebanon anasema uasi wa Imam Hussein (AS) unaenda zaidi ya dini kwani unawasilisha maadili ya binadamu kwa wote.
Habari ID: 3479169    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/22

IQNA - Baraza la Mkoa wa Karbala lilitangaza kuwa takriban mazuari milioni 6 walishiriki katika ibada za maombolezo katika siku ya Ashura katika mji mtakatifu wa Karbala siku ya Jumatano.
Habari ID: 3479145    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/19

Mtukio ya Karbala
Mji mtakatifu wa Karbala katika mkesha wa Ashura ulikuwa na mazuari mamilioni ya Wafanya Ziyara wakiomboleza kuuawa shahidi Imam Hussein (AS) na masahaba zake.
Habari ID: 3479140    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/17

Imam Ali (AS) Najaf, Iraq,
Siku ya Ashura inapokaribia, ua wa haram tukufu ya Imam Ali (AS) huko Najaf, Iraq, ulifunikwa na zulia jekundu.
Habari ID: 3479122    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/14

Qur’ani Tukufu
Msafara wa Qur'ani Tukufu wa Arobaini wa Iran utakuwa na wanachama zaidi ya 100, wakiwemo makaris wanaume na wanawake, huku karibu makari na wanaharakati 300 wakuu wakikamilisha kujiandikisha kwa tukio hilo.
Habari ID: 3479117    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/13

Karbala
Moja ya malengo ya mapinduzi ya Imam Hussein (AS) lilikuwa ni kuamrisha mema na kukataza maovu.
Habari ID: 3479115    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/13

Imam Hussein (AS)
Ushahidi bora zaidi wa msingi wa Qur'ani wa mauaji ya Imam Hussein (AS) unaweza kupatikana katika wasia wake ulioandikwa kwa ndugu yake Muhammad ibn al-Hanafiyya.
Habari ID: 3479104    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/11

IQNA - Bendera nyekundu za Haram (kaburi) Tukufu ya mam Hussein (AS) na Aba Al- Fadhl Al-Abbas (AS) zilishushwa na bendera nyeusi za maombolezo zikapandishwa kwenye majumba ya makaburi hayo siku ya Jumatatu huko Iraq Karbala.
Habari ID: 3479098    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/09

Imamu Hussein (AS) karbala
IQNA- Imam Hussein (AS) alidhulumiwa na baadhi ya vipimo vingine vya mwamko wa Ashura vinaweza kuonekana katika baadhi ya aya za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3479082    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/07

Mashindano ya kimataifa ya Qur'ani
IQNA-Washindi wa mashindano ya 3 ya kimataifa ya Qur'ani ya Karbala walitangazwa na kutunukiwa huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3479080    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/06

Karbala ya Mwaka 1445
Kifuniko, kinachojulikana kama Kiswa, cha Kaaba Tukufu kinatarajiwa kubadilishwa katika siku ya kwanza ya mwezi wa maombolezo ya Muharram, mamlaka ya Saudi ilisema.
Habari ID: 3479079    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/06

IQNA - Afisa mmoja anasema kauli mbiu ya maandamano ya mwaka huu ya Arbaien ilichukuliwa kwa kuzingatia ukandamizaji wa kikatili unaoendelea wa Israel dhidi ya watu wa Palestina.
Habari ID: 3479003    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/23

Harakati za Qur'ani
IQNA – Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq imerejesha programu yake ya kila siku ya Khatmul Qur'an.
Habari ID: 3478752    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/30

Arbaeen
IQNA - Balozi wa Iran nchini Iraq Mohammad Kazem Al Sadeq amesema kuimarika kila mwaka mjumuiko na matembezi ya Arbaeen kama mfano wa utamaduni adhimu wa Kiislamu.
Habari ID: 3478699    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/19