iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 17 wameuawa Jumapili kufuatia mlipuko wa bomu katika msikiti ambao ulikuwa pia unatumika kama kituo cha kuwasajili wapiga kura katika mkoa wa Khost kusini mashariki mwa Afghanistan.
Habari ID: 3471499    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/07

IQNA: Mcheza filamu mashuhuri wa Marekani Morgan Freeman amesema adhana ni kati ya sauti bora zaidi duniani alizowahi kusikia.
Habari ID: 3470697    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/25