iqna

IQNA

vatican
Watetezi wa Palestina
KARBALA (IQNA) - Sheikh Abdul Mahdi al-Karbalayi, mwakilishi wa Ayatullah Sayyed Ali al-Sistani jijini Karbala, Iraq amesisitiza uungaji mkono kwa watu wa Palestina katika kukabiliana na uchokozi wa kikatili wa utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3477995    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/06

TEHRAN (IQNA)- Aliyekuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Benedict wa 16, amefariki dunia leo Jumamosi, akiwa na umri wa miaka 95.
Habari ID: 3476335    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/31

Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Mkurugenzi wa Vyuo vya Kiislamu Iran Ayatullah Alireza Arafi alikutana na kufanya mazungumzo na Papa Francis.
Habari ID: 3475317    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/31

TEHRAN (IQNA)- Chuo cha Kiislamu cha Al Azhar kimefanya kikao cha mazungumzo ya kidini na Makao ya Kanisa Katoliki Duniani, Vatican na Kanisa la Orthodox la Koptiki.
Habari ID: 3474645    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/06

Rais wa Iran akimpokea Balozi wa Vatican
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kutoa mazingatio kwa Mola Muumba na suala la umanaawi ni jambo la udharura mkubwa hii leo kwa jamii ya mwanadamu.
Habari ID: 3474593    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/23

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Kiislamu nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali Sistani amekutana na Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ambapo katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3473707    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/06

TEHRAN (IQNA)- Ujumbe kutoka makao makuu ya Kanisa Katoliki Duniani, Vatican, umetembelea Haram Takatifu ya Imam Ali AS mjini Najaf, Iraq.
Habari ID: 3473645    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/12

IQNA-Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimempongeza Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis kwa msimamo wake wa kulaani mauaji na ukandamizaji wa Waislamu nchini Myanmar.
Habari ID: 3470843    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/11

Katika hali ambayo utawala wa kifalme wa Bahrain hadi sasa umeshavunja misikiti 38 nchini humo kwa visingizio tofauti, Mfalme wa Bahrain amemzawadia Papa Francis wa Kanisa Katoliki, ramani ya kanisa kubwa linalotarajiwa kujengwa nchini humo.
Habari ID: 1426057    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/05