tehran - Ukurasa 5

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiisalmu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema chanzo kikuu cha vita, ukosefu wa usalama katika eneo la Kusini mwa Asia na Ulimwengu wa Kiislamu ni madola makubwa ya kiistikbari yakiongozwa na Marekani.
Habari ID: 3470437    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/06

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema leo kuwa taifa la Iran litaendelea kusimama kidete dhidi ya maadui wote kwa ajili ya kutetea taifa linalodhulumiwa la Palestina.
Habari ID: 3470435    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/06

Kunafanyika maonyesho ya Qur'ani katika miji 100 nchini Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3470410    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/22

Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu mjini Tehran mwaka huu yameshuhudia ongezeko la washiriki kutoka nchi mbali mbali duniani.
Habari ID: 3470396    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/18

Waziri wa Utamaduni na Muongozi wa Kiislamu Iran Ali Jannati amefungua Maoneysho ya 24 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu mjini Tehran Jumatatu usiku.
Habari ID: 3470385    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/14

Maonyesho ya 24 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yanatazamiwa kuanza mjini Tehran katika siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3470349    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/31

Alhamisi ilikuwa siku ya kwanza ya Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran ambapo washiriki 16 waliweza kuonyesha ustadi wao katika kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3470309    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/13

Khatibu wa Sala ya Ijumaa
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesistiza kuwa taifa la Iran litaendeleza mapambano na halitosalimu amri mbele ya matakwa ya madola ya kibeberu.
Habari ID: 3470213    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/25

Shirika la Kimataifa la Habari za Qur'ani (IQNA) imepata zawadi ya shirika bora la habari za kidini katika Maonyesho ya 21 ya Habari na Mashirika ya Habari mjini Tehran.
Habari ID: 3449242    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/14

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran ameelezea masikitiko yake kuhusu kimya cha Umoja wa Mataifa na taasisi zingine za kimataifa kuhusu mauaji yanayoendelea dhidi ya watu wasio na hatia nchini Yemen.
Habari ID: 3353340    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, umoja na mshikamano ni tiba ya matatizo ya ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3329122    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/18

Awamu ya 23 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran yanamalizika Jumanne hii.
Habari ID: 3327645    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/13

Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran mwaka huu yamekuwa makubwa na mapana zaidi kuliko miaka iliyopita.
Habari ID: 3326322    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/11

Maoneysho ya 23 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran yamefunguliwa rasmi Jumatano jioni katika hafla iliyohudhuriwa na Waziri wa Utamaduni wa Muongozo wa Kiislamu Iran, maafisa waandamizi wa baraza la mji wa Tehran na wana wanaharakati katika uga wa Qur'ani.
Habari ID: 3318499    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/25

Maonyesho ya 23 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yatafunguliwa katika siku za awali za mtukufu wa Ramadhani katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Tehran.
Habari ID: 3315145    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/16

Kongamano la 11 la Kimataifa la Itikadi ya Imam Mahdi (Mwenyezi Mungu Aharakishe Kudhihiri Kwake) limeanza Jumapili hii hapa mjini Tehran na kushirikisha pamoja shakhsia mbalimbali wa ndani na nje ya Iran
Habari ID: 3309948    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/01

Hafidh wa Qur'ani kutoka Nigeria
'Nyumba yangu ni Madrassah ya Qur'ani na tokea utotoni nimekuwa nikijifunza Qur'ani na nilianza kuihifadhi nikiwa na umri wa miaka 14' anasema Hafidh wa Qur'ani kutoka nchini Nigeria.
Habari ID: 3306135    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/21

Washiri kadhaa wa awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran ametembelea Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, siku ya Jumapili.
Habari ID: 3304650    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/18

Awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran imeanza Ijumaa jioni kwa hotuba ya Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3304081    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/16

Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefungua rasmi awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran na kusema hivi sasa jamii za Kiislamu zinapaswa kutekeleza mafundisho ya Qur’ani kikamilifu.
Habari ID: 3304080    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/16