iqna

IQNA

Waislamu wa Madhehebu ya Shia
TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa Saba wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Kimataifa ya Ahl-ul-Bayt AS ulimalizika hapa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3475731    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/04

Hotuba ya Sala ya Idul Fitr Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Idul Fitr mjini Tehran amesema katika hotuba zake kwenye Swala ya Eidul-Fitri leo hapa mjini Tehran kwamba, maandamano ya Sikuu ya Kimataifa ya Quds yameonyesha kuwa, malengo matukufu ya taifa madhulumu la Palestina yangali hai.
Habari ID: 3475200    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/03

TEHRAN (IQNA) – Afisa wa Wizara ya Utamaduni ya Iran anasema malengo ya Maonyesho ya 29 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran yamefikiwa kwa usaidizi wa watu na mashirika.
Habari ID: 3475192    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/01

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya 29 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yamefunguliwa Jumamosi jioni katika sherehe iliyohudhuriwa na maafisa wa ngazi za juu serikalini.
Habari ID: 3475133    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/17

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran ni makubwa zaidi ya aina yake katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3475119    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/12

TEHRAN (IQNA)- Duru ya 29 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Tehran imepenga kufanyika katika Ukumbi wa Sala (Musalla) wa Imam Khomeini (RA).
Habari ID: 3475036    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mingoni mwa nchi chache zenye nguvu za kiulinzi za kudhamini amani na usalama wa eneo na wa Ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3474942    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/18

TEHRAN (IQNA)- Zahra Khalili, msichana mwenye ulemavu wa macho katika mji mkuu wa Iran, Tehran ni miongoni mwa wawakilishi wanne wa Iran katika mashindano yajayo ya Qur’ani ya kimataifa ya wanafunzi Waislamu.
Habari ID: 3474623    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/30

TEHRAN (IQNA)- Vituo vya Masomo ya Qur’ani vya Baraza la Jiji la Tehran vitaanza tena masomo ya ana kwa ana baada ya kufungwa kwa muda mrefu kutokana na janga la COVID-19.
Habari ID: 3474570    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/17

TEHRAN (IQNA)- Baada ya kusitishwa kwa muda wa takribani miezi ishirini jijini Tehran na katika miji na maeneo mengine ya Iran kutokana na maambukizi ya virusi vya corona, Swala ya Ijumaa imefanyika leo mjini Tehran ikishirikisha matabaka mbalimbali ya wananchi.
Habari ID: 3474457    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/22

TEHRAN (IQNA)- Watu kote Iran wanaendelea na mijimuiko kwa ajili ya kuomboleza kuuawa shahidi Imam Hussein AS na wafuasi wake watiifu 72 katika janga la Karbala mwaka 61 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3474203    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/18

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Iran wamejiunga na wenzao katika baadhi ya maeneo ya dunia katika sherehe za Idul Fitr. Hapa Tehran sawa na miji mingine ya Iran wuamini wamesali Sala ya Idul Fitr kwa kuzingatia kanunni za kuzuia kuenea corona.
Habari ID: 3473904    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/13

TEHRAN (IQNA) – Duru ya kwanza ya mashindano ya 43 ya Qur'ani Tukufu ya Tehran, mji mkuu wa Iran, imekamilika Julai 14.
Habari ID: 3472968    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/16

TEHRAN (IQNA) – Duru ya 28 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani ya Tehran itafanyika kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3472748    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/09

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA) -Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kulikuwa na mpango hatari nyuma ya wazua ghasia za hivi karibuni nchini Iran ambapo ghasia hizo ziliratibiwa na uistikbari wa dunia miaka miwili iliyopita sambamba na kugawa silaha na kutoa mafunzo.
Habari ID: 3472240    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/29

TEHRAN (IQNA)- Kitengo cha kimataifa cha Maonyesho ya 26 ya Qur'ani Tukufu ya Tehran kilizinduliwa Jumapili katika siku ya 11 ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3471534    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/28

TEHRAN (IQNA) – Maonyesho ya 36 ya Kimataifa ya Qur'ani ambayo hufanyika katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani yamepangwa kuanza Mei 19.
Habari ID: 3471513    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/14

TEHRAN (IQNA)-Zaidi ya wanawake 7,000 wanashiriki katika awamu ya 11 ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani kwa wanawake mjini Tehran.
Habari ID: 3471301    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/09

TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umemalizika mjini Tehran kwa kutoa taarifa yenye vipengee 26 inayosisitiza kuimarishwa umoja wa Kiislamu kwa ajili ya kupambana na njama za maadui, ikiwemo njama mpya ya Marekani dhidi ya Quds Tukufu.
Habari ID: 3471300    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/08

TEHRAN (IQNA)-Washindi wa Tuzo ya Kimataifa ya Sayansi ya Mustafa SAW (MSTF) wameenziwa katika sherhe iliyofanyika Jumapili mjini Tehran.
Habari ID: 3471297    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/05