tehran - Ukurasa 2

IQNA

Umoja wa Kiislamu
IQNA - Mkuu wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon Sheikh Ghazi Hunaina amesema kukabiliana wakufurishaji ni hatua ya lazima kuelekea kupatikana kwa umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3479494   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/26

Wiki ya Umoja
IQNA- Toleo la 38 la Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu litaanza katika mji mkuu wa Iran siku ya Alhamisi, wakati wa Wiki ya Kimataifa ya Umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3479435   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/14

IQNA – Makumi ya maelfu ya watu walitembelea Maonyesho ya 35 ya Kimataifa ya Vitabu ya Tehran siku ya Ijumaa, Mei 10, ambayo yaliadhimisha siku ya tatu ya tukio hilo kuu.
Habari ID: 3478811   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/12

Utamaduni
IQNA - Yemen inashiriki katika Maonesho ya 35 ya Kimataifa ya Vitabu ya Tehran kama mgeni rasmi kwa lengo la kuimarisha utamaduni wa muqawama au mapambano ya Kiislamu.
Habari ID: 3478808   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/12

Idul Fitr
IQNA - Makumi ya maelfu ya waumini leo Jumatano asubuhi walikusanyika kwenye Uwanja  wa Swala wa Mosalla Imam Khomeini katika mji mkuu wa Iran, Tehran, kwa ajili ya  Sala ya Idul Fitr inayoashiria kumalizika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478667   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

Sikukuu ya Idul Fitr
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei anasema utawala wa Kizayuni wa Israel "lazima uadhibiwe na kutiwa adabu" kwa shambulio lake baya dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran katika mji mkuu wa Syria, Damascus.
Habari ID: 3478662   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

IQNA - Rais wa Iran Ebrahim Raisi ametembelea Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran tarehe 30 Machi 2024. Pia alihudhuria hafla ya kuwaenzi watumishi 15 wa Qur'ani.
Habari ID: 3478610   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/01

Maonyesho ya Qur'ani
IQNA – Kitengo cha Kimataifa cha Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran kimefika ukingoni Alhamisi
Habari ID: 3478599   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/29

Maonyesho ya Qur'ani
IQNA - Kazi tisini zilizochaguliwa za sanaa zinaonyeshwa katika sehemu ya sanaa ya Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran.
Habari ID: 3478566   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/24

Diplomasia ya Qur’ani
IQNA - Kongamano lililopewa jina la "Hadhi ya Qur'ani Tukufu katika Afrika ya Sasa" lilifanyika katika Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu Ijumaa usiku.
Habari ID: 3478561   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/23

Maonyesho ya Qur'ani
IQNA - Kuna maandishi mengi ya Qur'ani Tukufu yanayohifadhiwa kwenye Maktaba ya Astan Quds Razavi mjini Mashhad, nchini Iran, ukiwemo Mus'haf Mashhad ambao umetajwa ni nakala kamili zaidi katika maandishi ya Kikufi ya Hijaz.
Habari ID: 3478554   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/22

Maonyesho ya Qur'ani
IQNA - Mkuu wa sehemu ya Hijabu na Ifaf ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran ameleeza kuwa ni moja ya sehemu zinazotembelewa zaidi katika maonyesho hayo ya kila mwaka.
Habari ID: 3478540   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/19

Harakati za Qur'ani
IQNA - Maonesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yatafanyika wakati wa likizo ya Nowruz, yaani mwaka mpya wa Kiirani katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3478276   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/30

Khatibu wa Sala ya Ijumaa
IQNA-Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa Tehran amesema kuwa, leo hii Yemen shujaa inaungwa mkono kila upande na kwamba licha ya kupita siku 100 tangu utawala wa Kizayuni uanzishe jinai zake kila upande lakini imeshindwa kufikia malengo yake huko Ghaza.
Habari ID: 3478188   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/12

Maonyesho ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Maonesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yatazinduliwa siku ya 5 ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ripoti zisizo rasmi zilidokeza jana.
Habari ID: 3478099   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/27

Maonyesho ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Waandaaji wa toleo lijalo la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran wanakaribisha mawazo mapya ya kuandaa vyema tukio hilo la Qur'ani.
Habari ID: 3477962   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/29

Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, Harakati ya Kiislamu (Muqawama) ya Kupigania Ukombozi wa Palestina (HAMAS) ilivunja mgongo wa Israel kwa kutegemea imani na ushujaa katika operesheni ya kimbunga ya Al-Aqswa.
Habari ID: 3477938   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/24

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Akizungumza leo katika sala ya Ijumaa ya mjini Tehran, Hujjatul Islam wal Muslimeen Kazem Sediqi amesema kuwa leo mrengo wa mapambano ya Kiislamu ni mrengo wa kimataifa na kuongeza kwamba mrengo huo umabadilisha dunia.
Habari ID: 3477832   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/03

Kimbunga cha Al-Aqsa
TEHRAN (IQNA) - Akizungumzia mafanikio ya operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa, Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesema: "Siku ya (Kimbunga) Tufani ya Al-Aqsa" inapaswa kuzingatiwa kuwa Siku ya Al Baraka kwa watu wa Palestina na Siku ya Nakba kwa utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3477794   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/27

Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa hapa Tehran hii leo amesema matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein (AS) ni zoezi la kimaanawi la aina yake na lisilo na mfano.
Habari ID: 3477604   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/15