iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) –Maonyesho ya 25 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran yamemalizika Ijumaa usiku katika sherehe iliyofanyika mjini Tehran.
Habari ID: 3471021    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/17

Hujuma za kigaidi za kundi la ISIS mjini Tehran Jumatano zimeendelea kulaania kimataifa.
Habari ID: 3471013    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/08

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)- Hujjatul Islam Seyed Mehdi Taqavi mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa (IQNA), ni kati ya watu waliouawa shahidi katika hujuma ya kigaidi katika Bunge la Iran.
Habari ID: 3471012    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/07

TEHRAN (IQNA)-Zaidi ya nchi 20 zinashiriki katika Maonyesho ya 25 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran mwaka huu.
Habari ID: 3471005    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/03

TEHRAN (IQNA)-Tafsiri ya kwanza ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kihispania ni kati ya vitabu katika Maonyesho ya Kimatiafa ya Vitabu ya Tehran yanayomalizika leo.
Habari ID: 3470977    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/13

IQNA-Maonyesho ya 25 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran yamepangwa kufanyika katika Ukumbi wa Sala wa Imam Khomeini MA.
Habari ID: 3470870    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/27

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuwa, watu wa Iran kamwe hawatasahu maafa ya mauti ya kuogofya ya Mina katika msimu wa Hija mwaka jana.
Habari ID: 3470545    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiisalmu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema chanzo kikuu cha vita, ukosefu wa usalama katika eneo la Kusini mwa Asia na Ulimwengu wa Kiislamu ni madola makubwa ya kiistikbari yakiongozwa na Marekani.
Habari ID: 3470437    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/06

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema leo kuwa taifa la Iran litaendelea kusimama kidete dhidi ya maadui wote kwa ajili ya kutetea taifa linalodhulumiwa la Palestina.
Habari ID: 3470435    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/06

Kunafanyika maonyesho ya Qur'ani katika miji 100 nchini Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3470410    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/22

Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu mjini Tehran mwaka huu yameshuhudia ongezeko la washiriki kutoka nchi mbali mbali duniani.
Habari ID: 3470396    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/18

Waziri wa Utamaduni na Muongozi wa Kiislamu Iran Ali Jannati amefungua Maoneysho ya 24 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu mjini Tehran Jumatatu usiku.
Habari ID: 3470385    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/14

Maonyesho ya 24 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yanatazamiwa kuanza mjini Tehran katika siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3470349    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/31

Alhamisi ilikuwa siku ya kwanza ya Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran ambapo washiriki 16 waliweza kuonyesha ustadi wao katika kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3470309    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/13

Khatibu wa Sala ya Ijumaa
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesistiza kuwa taifa la Iran litaendeleza mapambano na halitosalimu amri mbele ya matakwa ya madola ya kibeberu.
Habari ID: 3470213    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/25

Shirika la Kimataifa la Habari za Qur'ani (IQNA) imepata zawadi ya shirika bora la habari za kidini katika Maonyesho ya 21 ya Habari na Mashirika ya Habari mjini Tehran.
Habari ID: 3449242    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/14

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran ameelezea masikitiko yake kuhusu kimya cha Umoja wa Mataifa na taasisi zingine za kimataifa kuhusu mauaji yanayoendelea dhidi ya watu wasio na hatia nchini Yemen.
Habari ID: 3353340    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, umoja na mshikamano ni tiba ya matatizo ya ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3329122    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/18

Awamu ya 23 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran yanamalizika Jumanne hii.
Habari ID: 3327645    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/13

Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran mwaka huu yamekuwa makubwa na mapana zaidi kuliko miaka iliyopita.
Habari ID: 3326322    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/11