iqna

IQNA

Rais Ebrahim Raisi
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii imeweza kupata mafanikio makubwa katika sekta za ulinzi na nyuklia pamoja na kuwepo vikwazo shadidi vya maadui na hivyo vikwazo kama hivyo haviwezi kuwa kizingiti katika ustawi wa Iran.
Habari ID: 3474411    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/11

TEHRAN (IQNA)- Huku Iran ikiadhimisha wiki ya malenga mashuhuri wa Kifarsi Hafidh (Hafez au Hafiz), maonesho ya vitabu chini ya anuani ya ‘Hafez na Qur’ani’ yammefanyika katika kaburi lake ambalo ni maarufu kama Hafezieh mjini Shiraz kusini mwa Iran.
Habari ID: 3474405    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/10

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kufuatia kuuawa shahidi na kujeruhiwa idadi kubwa ya watu wasio na hatia nchini Afghanistan.
Habari ID: 3474400    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kuhusu matukio ya karibuni kabisa ya kisiasa ya nchi hiyo na eneo.
Habari ID: 3474395    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/08

TEHRAN (IQNA)- Kumetolewa pendekezo la kujengwa barabara kutoka mji mtakatifu wa Mashhad nchini Iran hadi mji mtakatifu wa Makka nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3474391    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/06

TEHRAN (IQNA)- Afisa wa ngazi ya juu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kundi hilo la muqawama lina haki ya kutumia njia zote halali kulilinda taifa la Lebanon, na kuvunja vikwazo na mzingiro wa Marekani dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3474387    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/06

TEHRAN (IQNA)- Mazungumzo baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Ufalme wa Saudi Arabia yanaendelea vizuri kwa lengo la kutatua matatizo yaliyopo baina ya pande mbili.
Habari ID: 3474386    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/05

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Taliban nchini Afghanistan umetangaza habari ya kuuvunja mtandao wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) katika eneo la kaskazini mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Kabul.
Habari ID: 3474383    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/05

TEHRAN (IQNA) Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi ameutaka Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za haraka za kuhitimisha jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya Palestina.
Habari ID: 3474376    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/03

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema uingiliaji na uwepo wa askari vamizi wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) ni chanzo cha mfarakano na uharibifu katika kanda hii.
Habari ID: 3474375    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/03

TEHRAN (IQNA)- Harakati kadhaa za kupigania ukombozi wa Palestina zimelaani vikali hatua ya ufalme wa Bahrain kumpokea waziri wa mambo ya nje wa utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3474372    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/02

TEHRAN (IQNA)- Kamanda wa vikosi vya nchi kavu vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa tangu uje utawala wa Kizayuni karibu na mipaka ya nchi, Iran imezidi kuguswa na suala la usalama wa mpaka wake wa kaskazini magharibi na kwa sababu hiyo harakati za utawala huo haramu zinafuatiliwa kikamilifu.
Habari ID: 3474367    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/01

TEHRAN (IQNA)- Idadi ya washiriki wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani ya Iran mwaka huu imeongezeka mara tatu ikilinganishwa na mwaka jana.
Habari ID: 3474362    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/30

TEHRAN (IQNA)- Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sina Tabbakhi ameibuka mshindi katika Mashindano ya 27 ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Croatia.
Habari ID: 3474350    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/27

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezungumzia hujuma za kipropaganda zinazofanywa na maadui dhidi ya taifa la Iran kwa ajili ya kushawishi fikra za watu kwa kutumia mbinu na nyenzo mbalimbali na kusema harakati za kutoa ufafanuzi na kueleza haki zinazima hujuma hizo za kipropaganda.
Habari ID: 3474348    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/27

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran
TEHRAN (IQNA)-Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa katika miezi michache iliyopita kumefanyika mawasiliano ya mara kwa mara kati ya Iran na Saudi Arabia na kuongeza kuwa, mazungumzo mazuri yamefanyika juu ya maswala yanayozihusu pande mbili.
Habari ID: 3474336    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/24

TEHRAN (IQNA)- Duru ya 27 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Croatia imeanza Jumatano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Zagreb.
Habari ID: 3474330    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/23

Rais Raisi wa Iran katika hotuba kwa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema juhudi za Marekani na washirika wake za kuitwisha dunia ubeberu wao zimefeli vibaya na kwamba siasa hizo za ubeberu hazina itibari tena kimataifa.
Habari ID: 3474324    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/22

TEHRAN (IQNA)- meli ya tatu iliyobeba shehena ya mafuta ya Iran imeondoka hapa nchini kuelekea Lebanon ikiwa ni katika mkakati wa kuvunja vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3474318    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/20

Kiongozi Muadhamu katika mkutano na wanamichezo wa Olimpiki na Paralimpiki
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema, kutotambuliwa na kususiwa utawala ghasibu wa Israel katika michezo ni jambo muhimu sana.
Habari ID: 3474308    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/18