iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Mbunge Muislamu Marekani apinga sera za Trump dhidi ya Iran na kusema vikwazo na vita vya kiuchumi ni hatua ambazo zinakinzana na sera za kupunguza taharuki.
Habari ID: 3472356    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/09

TEHRAN (IQNA) –Wananchi wa Nigeria wameshiriki katika maandamano ya kulaani jinai ya Marekani ya kumuua shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis.
Habari ID: 3472351    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/07

TEHRAN (IQNA) - Chama tawala cha ANC cha Afrika Kusini kimetoa taarifa rasmi na kulaani hujuma ya Jeshi la Markeani ambayo ilipelekea kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Qods cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC)
Habari ID: 3472346    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/06

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, tarehe 3 Januari 2020 ambayo ni siku ya kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC, ni mwanzo wa historia mpya katika eneo la Asia Magharibi.
Habari ID: 3472337    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/05

TEHRAN (IQNA) - Mwili mtoharifu wa Shahidi Luteni Jenerali Haj Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) umewasili katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema leo asubuhi katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Ahwaz kusini mwa nchi.
Habari ID: 3472336    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/05

TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia ujumbe wa pongezi marais na viongozi na mataifa ya Wakristo kwa mnasaba wa kuanza mwaka mpya wa Miladia wa 2020.
Habari ID: 3472323    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/01

TEHRAN (IQNA)- Duru ijayo ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran itafanyika katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuanzia siku ya 8 ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani inayokadiriwa kuwa Aprili 20.
Habari ID: 3472314    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/29

Kwa mnasaba wa Krismasi
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewanasihi wafuasi wa dini ya Kikristo wafungamane na vitendo vyema kama walivyoelekezwa na Nabii Issa Masih (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-AS-).
Habari ID: 3472302    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/25

Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ulimwengu wa Kiislamu una changamoto nyingi kitaifa na kimataifa na kusisitiza kuwa, nchi za Kiislamu zinapaswa kuwa na tadibiri na mikakati madhubuti ya kuachana na ubeberu wa sarafu ya dola wa kutegemea mfumo wa kifedha wa Marekani.
Habari ID: 3472287    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/19

TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa sera za kueleka mashariki na kuwa na uhusiano wa karibu zaidi na nchi muhimu za bara Asia ni miongoni mwa malengo ya siku zote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3472284    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/17

TEHRAN (IQNA) Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia zimetiliana saini mapatano kuhusu Ibada ya Hija katika mwa huu wa Hijria Qamaria.
Habari ID: 3472264    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/09

TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Shirika la Hija na Ziyara la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo ameelekea Saudi Arabia kufuatia mwaliko rasmi wa Waziri wa Hija na Umrah wa nchi hiyo.
Habari ID: 3472261    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/08

Kamanda Mkuu wa IRGC
TEHRAN (IQNA)- Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) mezungumzia mwamko na muono wa mbali wa wananchi wa Iran katika matukio ya hivi karibuni humu nchini na kusisitiza kuwa, wiki zilizopita, wananchi wa Iran walitoa pigo jingine kubwa kwa mabeberu hususan Marekani.
Habari ID: 3472256    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/04

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Ulaya na Marekani hazina azma ya kurejesha amani huko Yemen bali pande hizo zinafuatilia kuuza silaha zao.
Habari ID: 3472254    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/03

TEHRAN (IQNA) – Serikali za Iran na Iraq zimelaani hujuma dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran katika mji mtakatifu wa Najaf huku serikali ya Iraq ikisema hujuma hiyo imelenga kuvuruga uhusiano wa kihistoria wa nchi hizi mbili j iran i.
Habari ID: 3472237    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/28

Kiongozi Muadhamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameshukuru harakati ya wananchi wengi wa taifa la Iran katika kipindi cha wiki moja iliyopita na kusisitiza kuwa kwa harakati hiyo wananchi wa Iran wamesambaratisha njama kubwa, hatari sana na iliyoratibiwa.
Habari ID: 3472235    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/27

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelihutubu taifa la Iran pamoja na marafiki na maadui wa mapinduzi na kusisitiza kuwa, wote, wakiwemo marafiki na maadui wa mapinduzi wafahamu kuwa, kuhusiana na medani ya kijeshi, kisiasa na kiusalama -kama vitendo vya machafuko na uharibifu vilivyotokea hivi karibuni hapa nchini ambavyo havikufanywa na wananchi wa kawaida- tumemuacha nyuma adui na kwa fadhila za Mwenyezi Mungu tutamshinda adui huyu pia katika medani ya vita vya kiuchumi.
Habari ID: 3472222    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/20

TEHRAN (IQNA) – Awamu ya Tatu ya Zawadi ya Mustafa SAW 2019 imetangazwa Jumatatu katika mji mkuu wa Iran, Tehran, ambapo wanasayansi watatu wa Iran na wawili kutoka Uturuki wametangazwa washindi.
Habari ID: 3472211    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/12

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema mazungumzo na Marekani hayajakuwa na matokeo yoyote na kusisitiza kuwa: " "Kupiga marufuku mazungumzo na Marekani ni moja ya njia muhimu za kuwazuia kujipenyeza nchini Iran."
Habari ID: 3472199    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/03

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kuaga dunia mwanazuoni mkubwa na mwenye jitihada Hujjatul Islam wal Muslimin Sayyid Ja'far Murtada al-Amili.
Habari ID: 3472192    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/28