Maonyesho ya 24 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yanatazamiwa kuanza mjini Tehran katika siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3470349 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/31
Saudi Arabia imeweka vizingiti na kuwazuia wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3470344 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/29
Idara ya Utamaduni ya Iran nchini Uganda imefadhili mashindano ya Qur'ani Tukufu katika Televisheni ya Kitaifa ya Uganda, UBC.
Habari ID: 3470342 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/28
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema njia pekee ya kuufanya Mfumo wa Kiislamu udumu na kupiga hatua mbele na kufikiwa malengo ya Mapinduzi ni 'nchi kuwa na uwezo halisi' na kutekelezwa 'jihadi kubwa', yaani kutomtii adui.
Habari ID: 3470340 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/27
Waziri Mkuu wa India Narendra Modi amemzawadia Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei nakala ya kale ya Qur'ani inayonasibishwa na Imam Ali Ali AS.
Habari ID: 3470333 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/24
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema nchi za Waislamu zinapaswa kupewa jukumu la vita dhidi ya ugaidi kwani ugaidi unanasibishwa kimakosa na Uislamu.
Habari ID: 3470332 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/24
Molawi Abdul Hamid Ismail Zehi, Imamu wa Msikiti wa Masunii wa Makki mjini Zahedan kusini mashariki mwa Iran amesema hatua ya Saudia kuwazuia Mahujaji Wa iran i mwaka huu si kwa maslahi ya Umma wa Waislamu.
Habari ID: 3470330 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/23
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran ametoa wito kwa Waislamu kukabiliana na magaidi wakufurishaji pamoja na serikali vibaraka ambazo zinapata uungaji mkono wa Marekani na Utawala wa Kizayuni katika eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3470322 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/20
Mkurugenzi wa Radio Bilal nchini Uganda amekutana na mwambata wa utamaduni wa Iran mjini Kampala na kusema, moja ya majukumu muhimu ya Radio hiyo ni kufundisha Qur'ani Tukufu, kuutangaza Uislamu na midahalo ya kidini.
Habari ID: 3470320 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/19
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo Jumatano ameonana na washiriki wa Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yaliyomalizika jana hapa mjini Tehran na kusema kuwa, Qur'ani ndio mhimili wa umoja wa umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3470319 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/18
Hafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka Kenya aliyeshiriki Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran amepongeza kujitokeza kwa wingi wananchi wapendao Qur'ani wa Iran katika ukimbu wa mshindano.
Habari ID: 3470318 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/18
Majaji katika Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran wametangaza kuwa qarii mshiriki kutoka Tanzania amepata nafasi bora zaidi kwa mtazamo wa 'Saut na Lahn' katika usomaji wake wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3470317 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/18
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa wito kwa wasomi wa kidini kushiriki kilamilifu katika mambo yote yanayohusu nchi na jamii
Habari ID: 3470313 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/15
Hafidh wa Tanzania
Mwakilishi wa Tanzania katika Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran amesema kuwaleta pamoja wanaharakati wa Qur'ani kutoka kila kona ya dunia ni nukta muhimu katika kuimarisha umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3470312 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/14
Alhamisi ilikuwa siku ya kwanza ya Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran ambapo washiriki 16 waliweza kuonyesha ustadi wao katika kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3470309 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/13
Mashindano ya 7 ya kirafiki ya Qur'ani baina ya majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ufalme wa Oman yatafanyika hivi karibuni mjini Tehran.
Habari ID: 3470308 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/12
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, usalama katika jamii una nafasi muhimu katika ustawi wa kiuchumi.
Habari ID: 3470301 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/08
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, jukumu muhimu kabisa la Umma wa Kiislamu ni kukabiliana na harakati ya ujahiliya inayoongozwa na Marekani.
Habari ID: 3470295 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/05
Mikutano wa "Wanafunzi Waislamu, Dunia Isiyo na Machafuko" na mwingine wa "Nafasi ya Wasomi wa Utamaduni Katika Ulimwengu wa Kiislamu ili Kufikia Dunia Isiyo na Machafuko" imepangwa kufanyika wiki ijayo nchini Senegal.
Habari ID: 3470292 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/04
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitizia umuhimu wa kuendelezwa uhusiano imara na usioweza kuathiriwa na vikwazo na uhasama wa Marekani baina ya Iran na Korea Kusini.
Habari ID: 3470289 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/03