Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la 38 la Mashindano ya Qur'an na Etrat kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya Iran lilizinduliwa katika mji wa kaskazini magharibi wa Tabriz siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3479412 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/10
IQNA - Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, alikutana na mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei nchini Iraq.
Habari ID: 3479384 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/04
IQNA-Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inaunga mkono makubaliano yoyote ambayo yanakubaliwa na Wapalestina na muqawama.
Habari ID: 3479348 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/29
Usalama
IQNA-Wizara ya Usalama wa Taifa Iran imesema imewatia mbaroni magaidi 14 wa kundi la kigaidi la Daesh au ISIS, na hivyo kuzima njama zao za kutekeleza mashambulizi ya kigaidi ndani ya nchi.
Habari ID: 3479314 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/23
Siasa
IQNA-Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) imehitimisha mjadala kuhusu baraza jipya la mawaziri la serikali ya awamu ya 14 kwa kuidhinisha mawaziri 19 waliopendekezwa na Rais Masoud Pezeshkian.
Habari ID: 3479311 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/21
Arbaeen 1446
IQNA - Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran Mohammad Reza Aref amesisitiza haja ya kutoa huduma bora kwa wafanyaziara wa Arbaeen.
Habari ID: 3479287 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/16
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mmoja wa wawakilishi wawili wa Iran katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu mjini Makka alitia fora na kuwavutia sana hadhirina wakati aliopandaa jukwaa Jumatatu.
Habari ID: 3479274 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/13
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Wawakilishi wawili wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamefika Saudi Arabia kushiriki katika toleo la 44 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia.
Habari ID: 3479252 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/09
Arbaeen 1446
IQNA - Rais Masoud Pezeshkian wa Iran aliipongeza serikali ya Iraq kwa uratibu na ushirikiano na Jamhuri ya Kiislamu ili kuimarisha huduma zinazotolewa kwa wafanyaziara wa Arbaeen.
Habari ID: 3479226 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/04
Qiraa
IQNA - Hamid Reza Ahmadivafa ndiye qari aliyechaguliwa kusoma Qur'ani Tukufu kufungua hafla ya kuapishwa kwa Rais wa Iran Daktari Masoud Pezeshkian 30 Julai 2024.
Habari ID: 3479214 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02
Muqawama
IQNA-Shahidi Ismail Haniya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) alikuwa mwanamapambano ambaye alijitolea maisha yake yote katika kuendesha mapambano dhidi ya maadui wa Uislamu.
Habari ID: 3479212 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02
Siasa
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ameutaja uchaguzi wa Rais wa Awamu ya 14 wa Jamhurii ya Kiislamu ya Iran kuwa ni wa mafanikio ya taifa katika mtihani muhimu. Ameyasema hayo leo mjini Tehran katika sherehe ya amemuidhinisha rasmi Rais wa Awamu ya 14 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian.
Habari ID: 3479196 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/28
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Zahra Ansari ambaye amehifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu ataiwakilisha Iran katika toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak Kwa Wanawake ya Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3479186 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/26
Turathi ya Kiislamu
IQNA - Nakala ya Qur'ani Tukufu (Msahafu) iliyoandikwa kwa mkono miaka 180 iliyopita imezawadiwa Maktaba Kuu ya Chuo Kikuu cha Tehran.
Habari ID: 3479183 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/25
Uchaguzi wa Iran
IQNA-Daktari Masoud Pezeshkian, akiwa na uzoefu wa muda mrefu kama mbunge na kama waziri wa afya, ametangazwa rasmi kuwa mshindi wa duru ya pili ya uchaguzi wa rais wa Iran uliofanyika Ijumaa.
Habari ID: 3479078 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/06
Uchaguzi wa Rais wa Iran Mwaka 1445
Masoud Pezeshkian alipata kura nyingi katika duru ya pili ya uchaguzi siku ya Ijumaa, na kuwa rais wa tisa wa Iran.
Habari ID: 3479074 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/06
Siasa
IQNA-Matokeo rasmi na ya mwisho ya duru ya 14 ya uchaguzi wa rais wa kabla ya wakati wa Iran yanaonesha kuwa zoezi hilo litaingia katika duru ya pili.
Habari ID: 3479031 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/29
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewataka wananchi wa Iran kutosita hata kidogo kushiriki katika uchaguzi wa leo wa Rais.
Habari ID: 3479025 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/29
Uchaguzi wa Rais wa Iran
IQNA-Wananchi wa Iran waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wanaelekea katika vituo vya kupigia kura ili kumchagua Rais mpya atakayemrithi Ebrahim Raisi aliyekufa shahidi katika ajali ya helikopta Mei 19 mwaka huu.
Habari ID: 3479024 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/28
Sikukuu ya Eid Ghadir Khum
Ayatullah Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo amekutana na kuzungumza na maelfu ya wananchi katika sherehe ya maadhimisho ya Sikukuu ya Eid Ghadir Khum.
Habari ID: 3479012 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/26