iran - Ukurasa 5

IQNA

IQNA – Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Nujaba ya Iraq amesema kuwa tishio lolote dhidi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, linachukuliwa kuwa ni tangazo la vita.
Habari ID: 3481828   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/21

IQNA – Katibu Mkuu wa Jukwaa la Kimataifa la Umoja na Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu (WFPIST) amesisitiza haja ya kuimarisha umoja na kudumisha umakini wa ulimwengu wa Kiislamu kuhusu suala la Palestina.
Habari ID: 3481825   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/20

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameisifu Iraq kwa kuwapokea mahujaji wa Kiirani wanaosafiri kuelekea nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3481819   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/19

IQNA – Jukwaa la Umoja na Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu Duniani, (WFPIST) limepongeza msimamo wa kuunga mkono uliotolewa na wanazuoni na wasomi wa Kishia na Kisunni kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia machafuko ya hivi karibuni.
Habari ID: 3481814   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/18

Wizara ya Mambo ya Nje imelaani vikali tamko la hivi karibuni la kuingilia mambo ya ndani ya Iran lililotolewa na Kundi la Nchi Saba (G7), ikilishutumu kundi hilo la kiserikali linaloongozwa na Marekani kwa kuingilia masuala ya Iran na kwa mtazamo wa kinafiki kuhusu haki za binadamu.
Habari ID: 3481812   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/17

IQNA-Wanazuoni na wasomi wa Ulimwengu wa Kiislamu, katika taarifa yao, wameonyesha kuunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khamenei, kufuatia machafuko ya hivi karibuni nchini, huku wakitoa tamko linalomtaja rais Trump wa Marekani kama mtu “muhrib”
Habari ID: 3481811   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/17

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuhusika moja kwa moja Marekani, utawala wa Kizayuni na baadhi ya nchi za Ulaya katika matukio ya hivi karibuni ya Iran hakukanushiki.
Habari ID: 3481809   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/17

IQNA-Msikiti wa Imam Mahdi (AS) uliopo Sihat, katika Mkoa wa Mashariki wa Saudi Arabia, ulijengwa takribani miaka 132 iliyopita, na hivyo kuwa miongoni mwa nyumba kongwe za ibada katika eneo hilo.
Habari ID: 3481806   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/15

IQNA-Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) amezionya Marekani, Israel na mamluki wao wenye mienendo ya kigaidi kama ile ya Daesh kwamba kosa lolote la kimahesabu litakabiliwa na majibu makali na ya kuangamiza.
Habari ID: 3481805   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/15

IQNA-Mamilioni ya watu wa Iran siku ya Jumatano wamejitokeza katika mazishi na shughuli ya kuwaaga mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi mjini Tehran na miji mingine ya Iran.
Habari ID: 3481803   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/15

IQNA – Afisa na msomi mmoja wa masuala ya Qur’ani Tukufu nchini Iran amesisitiza umuhimu wa kutumia uwezo na nafasi ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Tehran yanayokuja ili kulitambulisha neno la Wahyi kwa watu wa ulimwengu.
Habari ID: 3481800   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/14

IQNA – Mwanazuoni wa Kiirani amesema kuwa Qur’ani Tukufu imetangaza wazi kuwa jukumu lake ni kuanzisha ustaarabu mpya, na adui analijua hilo.
Habari ID: 3481799   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/14

IQNA – Mamilioni ya wananchi nchini Iran waliandamana Jumatatu kulaani ghasia za hivi karibuni zilizochochewa na makundi ya kigaidi yanayodaiwa kuungwa mkono na Marekani na utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3481796   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/13

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, amepongeza maandamano ya kitaifa yaliyoonyesha uungaji mkono kwa Jamhuri ya Kiislamu, akisema wingi wa wananchi waliojitokeza “umeandika historia” na kuvuruga njama za maadui waliolenga kuibua misukosuko kupitia vibaraka wao wa ndani.
Habari ID: 3481795   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/13

IQNA – Akizungumzia machafuko yanayodaiwa kuungwa mkono na Israel katika miji ya Iran, Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki alisema kuwa malengo ya utawala wa Israel ndani ya Iran hayatoweza kutimia. Hakan Fidan amesisitiza kuwa utawala wa Tel Aviv hautafanikiwa katika njama zake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
Habari ID: 3481794   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/12

IQNA – Jumuiya ya Qur’ani ya Iran imelaani vikali machafuko mabaya yaliyotokea hivi karibuni nchini. Katika taarifa iliyotolewa Jumatatu, jumuiya hiyo iliwashukuru vikosi vya ulinzi na usalama kwa juhudi zao za kurejesha utulivu na amani katika jamii.
Habari ID: 3481793   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/12

IQNA-Serikali ya Iran imetangaza siku tatu za maombolezo kwa ajili ya kuwakumbuka waathiriwa, wakiwemo askari wa vikosi vya usalama na wa jeshi la kujitolea, ambao wameuliwa shahidi na magaidi wafanyaji fujo na vurugu wanaoungwa mkono na Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel, waliojaribu kuteka nyara maandamano ya amani ya wananchi ya kulalamikia hali ya uchumi nchini.
Habari ID: 3481792   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/12

IQNA – Mufti Mkuu wa Lebanon, Sheikh Abdul Latif Darian, amesema kuwa uhusiano kati ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni nchini humo ni wa kindugu na wa kuheshimiana.
Habari ID: 3481787   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/11

IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kwamba wakuu Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel wanafanya kila wawezalo kuzuia kuundwa kwa umoja miongoni mwa mataifa ya Kiislamu.
Habari ID: 3481786   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/11

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kundi la watu waharibifu Alhamisi usiku mjini Tehran waliharibu mali za umma na za wananchi kwa ajili ya kumfurahisha rais wa Marekani huku akisisitiza kuwa Iran haitalegeza msimamo katika kukabiliana na magenge ya wahalifu.
Habari ID: 3481785   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/10