IQNA – Toleo la pili la Tamasha la Usomaji Qur'ani wa Kuiga sauti za maqari mashuhurilinatarajiwa kufanyika katika mji wa Qazvin, Iran, kuanzia Februari 22 hadi 25, likiwakutanisha maqari 50 vijana kutoka sehemu mbalimbali za nchi.
Habari ID: 3480237 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/18
Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amelipongeza taifa la Iran kwa kufikisha "ujumbe wa umoja" kwa jamii ya kimataifa katika maadhimisho ya miaka 46 ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kihistoria ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979.
Habari ID: 3480206 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/13
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Wawakilishi wa nchi 27 watashindana katika hatua ya mwisho ya Mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3480085 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/20
Mashindano ya Qur'ani ya Iran
IQNA – Toleo la 41 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran litaingia katika hatua ya mwisho mwezi huu.
Habari ID: 3480049 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13
Siasa
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, Marekani mara zote imekuwa ikifanya makosa katika mtazamo wake dhidi ya Iran kwa miongo kadhaa sasa.
Habari ID: 3480017 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08
Mtazamo
IQNA – Mchambuzi wa kisiasa wa Palestina amesema Shahidi Jenerali Qassem Soleimani aliona kadhia ya Palestina kama suala kuu la ulimwengu wa Kiislamu, ambalo linapaswa kuungwa mkono kwa njia yoyote ile.
Habari ID: 3480000 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/03
Muqawama
IQNA-Rais Massoud Pezeshkian amesema kwamba Jamhuri ya Kiislamu itaendelea na njia iliyoanzishwa na kamanda shujaa wa kupambana na ugaidi, Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, kwa nguvu zake zote huku akisema Shahidi Soleimani hakujali mchana wala usiku popote alipohitajika kuwatetea wanyonge/
Habari ID: 3479995 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/03
Harakati za Qur'ani
IQNA – Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran, hasa sehemu yake ya maarifa, yana jukumu muhimu katika kukuza mafundisho ya Kiislamu miongoni mwa wananchi, amesema mwanazuoni.
Habari ID: 3479988 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/01
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Astan Quds Razavi, Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad, imeahidi kutoa msaada kamili katika kufanikisha Mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Iran, afisa mmoja amesema.
Habari ID: 3479979 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/31
Diplomasia
IQNA-Rais Masoud Pezeshkian ameeleza kuwa mtazamo na hatua za kivitendo za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni za kueneza amani na kudumisha usalama katika ukanda huu na baina ya nchi zote za Kiislamu; na ametaka kuwepo ushirikiano mkubwa zaidi kati ya Iran na Oman katika uwanja huo.
Habari ID: 3479977 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/30
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Kukuza uelewa wa Qur’anni Tukufu katika jamii ni lengo kuu la mashindano ya Qur’ani yanayoandaliwa nchini Iran, amesema Mkuu wa Shirika la Wakfu na Misaada la Iran, Hujjatul Islam Mehdi Khamoushi.
Habari ID: 3479959 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/27
Qur'ani Katika Maisha
IQNA – Mwanafunzi mwenye umri wa miaka 15 anasema kuhifadhi Quran Tukufu kumemsaidia kupata mafanikio zaidi shuleni.
Habari ID: 3479941 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Seyed Jassem Mousavi alishinda zawadi ya juu zaidi ya kategoria ya qiraa katika Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran huko Tabriz siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3479928 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/20
Diplomasia ya Kiislamu
Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza ulazima wa kuwepo umoja kati ya mataifa ya Kiislamu, na kutilia mkazo udharura wa kuchukuliwa hatua za pamoja ili kukabiliana na uchokozi wa utawala wa Israel.
Habari ID: 3479923 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/19
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Baada ya shughuli za miezi kadhaa, Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yalifikia tamati katika hafla ya Alhamisi asubuhi.
Habari ID: 3479921 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/19
Diplimasia ya Kiislamu
IQNA- Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yuko nchini Misri kuhudhuria mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Nchi za Kiislamu Zinazoendelea, D-8 - utakaofanyika Alhamisi.
Habari ID: 3479919 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/18
Harakati za Qur'ani
IQNA – Qari wa ngazi za juu wa kike wa Qur’ani nchini Iran amesema mazingira ya kuunga mkono na ya kutia moyo yanayotolewa na wazazi yana jukumu muhimu katika kukuza talanta za Qur’ani kwa watoto.
Habari ID: 3479918 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/18
Utamaduni wa Qur'ani
IQNA – Mbunge mmoja nchini Iran amesema kutekeleza mafundisho ya Sunnah za Qur'ani (sharia) kumewapa Wa iran i roho ya kusimama dhidi ya madola yenye kiburi na ya kibeberu.
Habari ID: 3479911 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/17
Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani
IQNA – Kuna ushindani mkubwa katika fainali ya Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran na hivyo ni vigumu kutabiri washindi, mshindani mmoja alisema.
Habari ID: 3479909 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/16
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mshindi Qiraa ya Qur’ani katika kategoria ya wanawake katika Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran amesema yeye hufanya mazoezi ya qiraa na kusoma tafsir kila usiku pamoja na familia yake.
Habari ID: 3479904 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/15