IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naim Qassem amesisitiza uungaji mkono usioyumba wa harakati hiyo kwa Iran huku akilaani hujuma ya kichokozi na iliyo haramu inayotekelezwa na Marekani na utawala wa Israel dhidi ya Iran.
Habari ID: 3480846 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/20
IQNA- Baraza la Maulamaa wa Kiislamu Palestina limetoa taarifa na kutangaza kufungamana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3480845 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/19
IQNA- Qari mashuhuri wa Misri, Sheikh Abdul Fattah Taruti, ametangaza kufungamana na watu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3480844 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/19
IQNA- Rais wa zamani wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa Waislamu, Sheikh Ahmed al Raissouni, ametoa wito kwa Waislamu duniani kote kuunga mkono Iran katika kukabiliana na hujuma ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, huku akisisitiza kuwa hakuna taifa ambalo limewaunga mkono ukombozi wa Palestina kama ilivyofanya Iran.
Habari ID: 3480843 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/19
IQNA-Kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Mashia wa Iraq Ayatullah Sistani amelaani vikali hujuma inayoendelea ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na vitisho vyovyote dhidi ya maisha ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
Habari ID: 3480842 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/19
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema taifa la Iran litasimama kidete katika kukabiliana na vita vya kulazimishwa, kama ambavyo halitakubali amani ya kutwishwa na hivyo taifa hali halitasalimu amri.
Habari ID: 3480841 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/18
(IQNA) – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Bwana Abbas Araghchi, amefafanua kuwa mashambulizi ya hivi karibuni ya makombora ya Iran yalikuwa ni kitendo halali cha kujilinda, yaliyotekelezwa kujibu uchokozi wa wazi wa Israel dhidi ya maeneo ya kijeshi na ya kiraia.
Habari ID: 3480839 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/15
IQNA – Naibu Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu Iran ambaye anasimamia masuala ya Qur'ani na Itrah amelaani vitendo vya hivi karibuni vya uchokozi vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na kusisitiza azma ya jumuiya ya Qur'ani nchini kufungamana na utamaduni wa muqawama (mapambano ya Kiislamu) na kuupinga utawala wa Kizayuni sambamba na kutetea maadili ya Kiislamu.
Habari ID: 3480838 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/15
IQNA – Shirika la Hija la Iran limetangaza kuanza upya kwa safari za kurudi nyumbani kwa Mahujaji wa Iran kwa njia ya anga na nchi kavu baada ya kufutwa safari za ndege katika anga ya Iran kufuatia hujuma ya utawala haramu wa Israel
Habari ID: 3480837 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/15
IQNA-Mashambulizi ya makombora ya Iran ya jana usiku ya kulipiza kisasi jinai za Israel ni makubwa kiasi kwamba hadi hivi sasa taasisi za utawala wa Kizayuni zimeemewa na hazijui zianzie wapi.
Habari ID: 3480836 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/15
IQNA-Vikosi vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimeanza kutekeleza wimbi la mashambulizi ya makombora dhidi ya utawala waKizayuni Israel, ili kulipiza kisasi kufuatia hujuma za utawala huo wa Kizayuni dhidi ya ardhi ya Iran.
Habari ID: 3480831 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/14
IQNA-Kiongozi Mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq amelaani vikali uchokozi wa hivi karibuni wa utawala wa Israel dhidi ya Iran, na ameihimiza jamii ya kimataifa kuzuia mashine ya vita ya utawala huo wa Kizayuni.
Habari ID: 3480830 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/13
IQNA-Shirika la Hajj na Hija la Iran limetangaza Ijumaa kwamba safari zote za kurudi kwa Mahujaji wa Ki iran i zimesitishwa hadi taarifa nyingine itakapotolewa, kufuatia kusimamishwa kwa safari za anga kote nchini baada ya mfululizo wa mashambulizi ya anga ya Israel.
Habari ID: 3480829 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/13
IQNA – Shirika la Hija la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetunukiwa Tuzo ya Labaytum kwa ubora katika Huduma kwa Mahujaji.
Habari ID: 3480810 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/09
IQNA – Kitabu kipya kilichoandikwa kuhusu sayansi ya Qur’ani kimetangazwa rasmi kama rasilimali ya elimu kwa wanafunzi wa kiwango cha kwanza katika vyuo vya Kiislamu kote Iran.
Habari ID: 3480806 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/08
IQNA – Mkuu wa Shirika la Hilali Nyekundu la Iran (IRCS), Daktari Pir Hossein Koulivand, ametangaza kuwa shirika hilo limefungua hospitali za muda katika maeneo ya Arafat na Mina, karibu na Makkah, kwa ajili ya kuwahudumia Mahujaji.
Habari ID: 3480793 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/06
IQNA – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu ni fursa muhimu ya kuleta unyenyekevu na uhai wa kiroho katika mazingira ya vyuo vikuu kupitia usomaji wa Qur'ani Tukufu, amesema afisa mmoja wa elimu.
Habari ID: 3480788 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/04
IQNA – Lengo kuu la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu kwa Wanafunzi Waislamu ni kuimarisha umoja miongoni mwa wanafunzi, wasomi, na wahadhiri kutoka ulimwengu wa Kiislamu, afisa mmoja amesema.
Habari ID: 3480782 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/03
IQNA – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu wa Vyuo Vikuu si tu jukwaa la mashindano kuhusu maarifa ya Qur’ani, bali pia ni fursa adhimu ya kukuza na kuimarisha maisha ya kiroho katika mazingira ya kielimu, afisa mmoja amesema.
Habari ID: 3480776 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/02
Katika Mkutano na Waziri Mkuu wa Pakistan
IQNA-Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitizia ulazima wa kuweko hatua za pamoja na zenye ufanisi baina ya Iran na Pakistan za kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza na ameashiria nafasi maalumu ya Pakistan katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3480746 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/27