IQNA – Mkutano umefanyika Tehran Jumatatu ili kujadili mikakati ya kuendeleza vipengele vya kimataifa vya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3480648 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/06
IQNA-Iran imetangaza kaulimbiu rasmi ya matembezi adhimu ya ya Arbaeen mwaka 1447 (2025), ni Inna Ala Al-Ahd" (Tuko Katika Ahadi") ili kuonyesha uaminifu kwa maadili ya Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3480646 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/06
IQNA – Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija aameitaja safari ya Hija kama fursa ya dhahabu ya kujitambua na kupata uelewa wa kina zaidi wa Uislamu.
Habari ID: 3480639 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/05
IQNA – Katika sherehe iliyofanyika Tehran Alhamisi, Shule ya Kitaifa ya Weledi wa Qiraa ya Qur'ani ilizinduliwa.
Habari ID: 3480629 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/03
IQNA –Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanaoelekea katika ibada ya Hija nchini Saudi Arabia mwaka huu wanatarajia kuanza safari yao wiki ijayo, kulingana na
Habari ID: 3480612 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/29
IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuwepo harakati za jamii ya kimataifa ili kusitisha mauaji makubwa ya kimbari ya karne hii.
Habari ID: 3480607 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/28
Rais Masoud Pezeshkian
IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza uwezo wa bara la Afrika na ulazima wa kuwepo ushirikiano na kwamba, IIran iko tayari kupanua ushirikiano wake na bara la Afrika katika nyanja zote.
Habari ID: 3480602 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/27
IQNA-Mkoa wa Kusini wa Hormozgan nchini Iran umetangaza siku tatu za maombolezo ya umma kufuatia mlipuko mbaya katika bandari ya Shahid Rajaee.
Habari ID: 3480599 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/27
IQNA-Wawakilishi wawili wa Iran katika mashindano ya 13 ya kimataifa ya Qur’an yaliyoendeshwa Libya walishiriki vikao vya mzunguko wa awali kupitia mtandao.
Habari ID: 3480595 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/26
IQNA – Maonyesho ya Kaligrafia ya Qur'ani na Mashairi ya Kiarabu, yaliyoandaliwa na Ubalozi Mdogo wa Iran mjini Jeddah, yamefunguliwa rasmi katika mji huo wa bandari wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3480576 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/21
IQNA – Mji mkuu wa Iran, Tehran, umepangwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa kuhusu ubinadamu na uhuru.
Habari ID: 3480570 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/20
IQNA – Rais wa Iran Massoud Pezeshkian amesema umoja wa Waislamu kuwa msingi wa amani na maendeleo katika eneo hilo.
Habari ID: 3480558 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/18
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Uhusiano kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia utakuwa na faida kwa pande mbili na unaweza kuzifanya pande mbili hizo zikamilishane.
Habari ID: 3480555 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/18
IQNA – Jumla ya raia 85,000 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran watashiriki katika ibada ya Hija mwaka huu ambapo miongoni mwao 1,100 wana umri wa zaidi ya miaka 80, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3480553 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/17
Sauti ya Mbinguni/ 3
IQNA- Usomaji wa Qur'ani Tukufu kwa hakika unaweza kutajwa kuwa 'Sauti ya Mbinguni', ambao kila aya zake tukufu huleta thawabu kubwa na usikilizwaji wake huleta utulivu wa mioyo. Katika mfululizo wa "Sauti ya Mbinguni", tumekusanya nyakati za hamasa, unyenyekevu, na uzuri wa sauti ya Qur'ani, na sehemu bora za tilawa ya wasomaji mashuhuri wa Ki iran i, ili kuwa urithi wa kusikika wa fani ya tilawa na maana ya kiroho ya aya za Qur'ani.
Habari ID: 3480547 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/16
IQNA – Kadri maandalizi ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu yanavyoendelea, tarehe ya mwisho kwa washiriki wa sehemu ya Teknolojia na Ubunifu Kuhusu Qur’ani inakaribia.
Habari ID: 3480534 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13
IQNA – Awamu ya kwanza ya safari ya Umrah kwa Mahujaji kutoka Iran kwa mwaka huu imehitimishwa rasmi, ambapo takriban Wa iran i 192,000 wametekeleza ibada hiyo tukufu ya Hijja Ndogo nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3480520 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/09
IQNA – Usajili umeanza rasmi kwa toleo la nane la mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa wafanyakazi nchini Iran.
Habari ID: 3480515 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/08
IQNA – Jumla ya vipindi 30 vya Qur’ani Tukufu viliandaliwa kwa ushiriki wa wasomi wa kiwango cha juu wa masuala ya Qur’ani kutoka Iran, katika majimbo mbalimbali ya Iraq wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani wa mwaka huu.
Habari ID: 3480509 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/08
Taarifa
IQNA-Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la nchini Iran (IRGC) limetoa taarifa na kutangaza kuwa kambi ya Muqawama, hususan wanamapambano shupavu na mashujaa wa Palestina, hatimaye itamaliza na kuyakatisha maisha ya aibu ya utawala wa Kizayuni wa Israel ambao unakaliwa ardhi za Palestina kwa mabavu.
Habari ID: 3480490 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/04