IQNA-Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC) limelaani shambulio la Marekani na Israel dhidi ya Shule ya Shajareh Tayyebeh katika mji wa Minab, kusini mwa Iran, ambapo angalau wanafunzi na wafanyakazi wa shule 175 waliuawa katika mauaji ya kikatili tarehe 28 Februari.
Habari ID: 3482097 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/28
IQNA-Jeshi la Yemen limetangaza kuwa liko tayari kuingilia moja kwa moja kijeshi iwapo pande nyingine zitaungana na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mhimili wa Muqawama.
Habari ID: 3482096 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/28
IQNA-Waziri wa mambo ya nje wa Iran amesema mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Minab yaliyotekelezwa na Marekani na Israel ni “sehemu ndogo tu ,” ya jinai ya kivita unaofanywa na muungano huo wa kijeshi wa tawala hizo mbili.
Habari ID: 3482095 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/28
IQNA-Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu nchini Kenya, Shakira Wafula, ametangaza mshikamano wake na watu wa Iran na Palestina, akitoa ujumbe wa imani na matumaini.
Habari ID: 3482085 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/24
IQNA – Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo amekosoa vikali vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, akivitaja kuwa ni fedheha kwa familia nzima ya kibinadamu na mtihani mkubwa wa maadili kwa ulimwengu mzima.
Habari ID: 3482082 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/23
IQNA – Mwanazuoni mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sayyid Ali al‑Sistani, amelaani kwa maneno makali vita vinavyoendeshwa hivi sasa na Marekani na Israel dhidi ya Iran na Lebanon, na amewataka Waislamu wote pamoja na watu huru duniani kuvipinga na kuvikemea.
Habari ID: 3482080 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/22
IQNA – Iran itaadhimisha Eid al‑Fitr siku ya Jumamosi, tarehe 21 Machi, baada ya hilali ya mwezi wa Shawwal kutoonekana nchini humo jioni ya Alhamisi.
Habari ID: 3482074 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/20
IQNA-Katika taarifa yenye vipengele sita iliyoelekezwa kwa serikali za nchi za Kiislamu, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema: “Lazima muamue msimamo wenu katika Vita vya Ramadhani, je, mnasimama upande wa nchi ya Kiislamu ya Iran, au upande wa Marekani na Israel?”
Habari ID: 3482064 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/17
IQNA – Wakati mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yakiingia katika juma lake la tatu na idadi ya raia wanaopoteza maisha ikiongezeka pande zote mbili, sauti ya kwanza ya kupinga imejitokeza kutoka ndani ya utawala wa Trump wenyewe.
Habari ID: 3482059 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/15
IQNA-Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yameanza leo kote nchini Iran huku taifa likiwa katika maombolezo ya shahidi Imam Ayatullah al Udhma Sayyid Ali Khamenei.
Habari ID: 3482052 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/13
IQNA – Maandamano ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds yanatarajiwa kufanyika katika miji na maeneo yote ya Iran Ijumaa hii.
Habari ID: 3482041 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/11
Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani/4
IQNA-Katika matukio ya hivi karibuni, mbele ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kulikuwepo njia mbili: vita au mazungumzo. Watu wengi kwa kawaida walipendelea mazungumzo. Hata hivyo, kwa nini hatima ya nchi ikaishia kwenye vita?
Habari ID: 3482033 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/09
IQNA — Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi mpya ya Diplomasia ya Qur'ani amesisitiza kuwa dhamira kuu ya taasisi hiyo ni kuimarisha umoja wa Umma wa Kiislamu kwa msingi wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3481999 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/26
IQNA – Kufuatia kuonekana kwa hilali ya mwezi mwandamo jioni ya Jumatano, Alhamisi ilitangazwa rasmi kuwa siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani nchini Iran.
Habari ID: 3481956 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/19
IQNA – Mwanazuoni wa Kisunni kutoka Iran amesema kuwa kulinda umoja wa Umma wa Kiislamu kutazima njama zote zinazopangwa na maadui.
Habari ID: 3481950 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/17
IQNA – Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) limesambaza kionjo rasmi cha msimu mpya wa kipindi cha televisheni cha “Mahfel”, ambacho hurushwa nchini Iran wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481943 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/16
IQNA-Kiongozi wa harakati ya Muqawama (mapambano ya Kiislamu) ya Ansarullah nchini Yemen amesema kuwa Marekani na Utawala wa Israel zinakabiliana na Iran kwa sababu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inasimama kama kizuizi dhidi ya mradi wao mpana wa kutawala eneo la Asia Magharibi au Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3481932 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/14
IQNA – Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yamegeuka kuwa mfano hai wa kuunganisha dini, maisha ya kijamii na maendeleo katika ulimwengu wa kisasa, amesema mchambuzi mmoja wa masuala ya kisiasa kutoka Lebanon.
Habari ID: 3481925 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/12
Mamilioni ya wananchi kutoka matabaka yote ya kijamii wamejitokeza mitaani kote nchini Iran kushiriki maandamano ya kitaifa yanayoashiria maadhimisho ya miaka 47 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3481919 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/11
IQNA – Jumuiya ya Qur'ani ya Iran imesisitiza kuwa vita kuu duniani hadi leo bado ni vita juu ya Qur'ani, ikisema kuwa hali ya sasa ya maendeleo ya kimataifa inaonyesha wazi kuwa wakati umefika kwa mazungumzo na fikra za Qur'ani kujitokeza kwa nguvu katika uwanja wa umma.
Habari ID: 3481913 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/10