iqna

IQNA

iran
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kutoa leseni ya kuidhalilisha na kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu ni kinyume na madai ya uhuru wa kusema na ni kielelezo cha "ujinga mamboleo".
Habari ID: 3477331    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/24

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kutovukiwa adabu matukufu ya Waislamu hasa Qur'ani Tukufu huko nchini Uswidi ni tukio chungu na ni njama hatari sana akisisitiza kuwa, aliyefanya jinai hiyo lazima aadhibiwe, na maulamaa wote wa Kiislamu wanaafikiana katika hilo.
Habari ID: 3477321    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/22

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Wananchi Waislamu wa Iran leo wamefanya maandamano makubwa maeneo yote ya nchi nzima baada ya Sala za Ijumaa kulaani kuvunjiwa heshima tena Qur'ani Tukufu nchini Uswidi kitendo ambacho kilifanyika kwa ulinzi kamili wa jeshi la polisi la nchi hiyo ya eneo la Skandinavia barani Ulaya.
Habari ID: 3477318    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/21

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuandikia barua Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, akimtaka achukue msimamo mkali dhidi ya vitendo vya kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu.
Habari ID: 3477317    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/21

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imemuita balozi wa Uswidi mjini Tehran kulalamikia hatua ya serikali ya nchi hiyo ya Ulaya Magharibi ya kuruhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477316    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/21

Diplomasia
KAMPALA (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyashambulia madola ya Maagharibi kutokana na hatua yao ya kutetea vitendo vichafu vya ushoga na mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja.
Habari ID: 3477275    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/13

Katika safari ya Rais Ebrahim Raisi nchini Kenya
NAIROBI (IQNA)- Marais William Ruto wa Kenya na Ebrahim Raisi wa Iran wamesisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika sekta mbali mbali. Hayo yamebainika katika hotuba za marais hao leo mjini Nairobi baada ya mazungumzo.
Habari ID: 3477268    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/12

Diplomasia
TEHRAN (IQNA) Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raisi, anatazamiwa kuanza ziara rasmi ya kuzitembelea nchi tatu barani Afrika ili kuendeleza sera za Jamhuri ya Kiislamu za kuimarisha uhusiano na nchi marafiki.
Habari ID: 3477261    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/09

Chuki dhidi ya Uislamu
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Kuivunjia heshima Qur'ani ni kuvunjia heshima na kudunisha ubinadamu na thamani za Kiislamu, na jamii ya Kiislamu haitavumilia suala hilo.
Habari ID: 3477217    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/30

Ibada ya Hija 1444
Kundi la maqari (wasomaji Qur'ani Tukufu) wa Iran huko Makka nchini Saudi Arabia katika vikao vinavyohudhuriwa na Mashia na Masunni ili kuendeleza zaidi umoja kati ya Waislamu.
Habari ID: 3477129    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/10

Mtazamo
Siku kama ya leo miaka 34 iliyopita, sawa na tarehe 14 Khordad mwaka 1368 kwa mujibu wa kalenda ya Hijria Shamsia sawa na mwezi Juni 1989, Imam Ruhullah Musawi Khomeini (MA) mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliaga dunia akiwa na umri wa miaka 87. Ulimwengu wa Kiislamu uligubikwa na majonzi na huzuni kubwa kuutokana na kutangazwa kifo cha Imam.
Habari ID: 3477098    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/04

Siasa
TEHRAN (IQNA)- Assadollah Assadi, mwanadiplomasia wa Iran ambaye alikuwa akishikiliwa kinyuma cha sheria gerezani nchini Ubelgiji amerejea Tehran siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3477051    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/27

Hossein Amir-Abdollahian
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiutambua mfumo wa serikali unaoongoza hivi sasa nchini Afghanistan.
Habari ID: 3477050    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/26

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Seyyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Iran na Indonesia zina mitazamo ya pamoja kuhusu masuala ya kieneo na kimataifa na akabainisha kuwa nchi hizo mbili zimeshikamana na msimamo thabiti katika kuunga mkono haki za wananchi wa Palestina hadi Quds tukufu itakapokombolewa
Habari ID: 3477033    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/23

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa banda la Kurugenzi ya Masuala ya Kidini ya Uturuki (Diyanet) katika Maonyesho ya 34 ya Kimataifa ya Vitabu ya Tehran amesema Diyanet inatekeleza shughuli mbalimbali za Qur'ani Tukufu duniani kote.
Habari ID: 3477027    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/21

Hija
TEHRAN (IQNA) - Iran itaanza kupeleka mahujaji wa Hijja nchini Saudi Arabia siku ya Jumatano, Mei 24, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3477022    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/20

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameelezea ziara yake ya siku mbili nchini Syria kama hatua ya mabadiliko katika kukuza uhusiano wa kiuchumi, kisiasa na kiusalama baina ya nchi mbili na kuongeza kuwa lengo kuu la safari hiyo lilikuwa ni kuenzi muqawama au mapambano ya serikali na taifa la Syria.
Habari ID: 3476962    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/05

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran ametaja kufeli Marekani katika kuziunganisha nchi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni ushindi au nusra kutoka kwa Mwenyezi Mungu na akaongeza kuwa: "Kumfuata Wali ul Amr wa Waislamu na Hujja za Kisharia ni mfano wa usaidizi wa Mwenyezi Mungu."
Habari ID: 3476960    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/05

Diplomasia
TEHRAN (IQNA) – Rais wa Iran Ebrahim Raisi, ambaye yuko katika safari rasmi nchini Syria, ametembelea kaburi takatifu la Bibi Zainab (SA) huko Damascus.
Habari ID: 3476956    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/04

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Iran ameashiria kukasirishwa utawala wa Kizayuni kufuatia kuhuishwa uhusiano kati ya Iran na Saudia na akasema: Maadui khususan utawala wa Israel wamekasirishwa na hatua hii na sababu yake ni njama wanazofanya za kueneza migawanyiko.
Habari ID: 3476951    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/03