Diplomasia
IQNA-Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran imesisitiza kuwa, kuainishwa hatima na kufanya maamuzi kuhusu mustakbali wa Syria ni jukumu la pekee la wananchi wa nchi hiyo bila ya uingiliaji uharibifu wala kulazimishwa na mataifa ya kigeni.
Habari ID: 3479879 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/09
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mhifadhi wa Qur'ani wa kike amesema Qur'ani imemjengea subira na ustahimilivu katika kukabiliana na changamoto mbalimbali.
Habari ID: 3479877 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/08
Qur'ani Katika Maisha
IQNA – Mwanamke Mu iran i aliyehifadhi Qur'ani Tukufu amesema mtu ambaye amekumbatia uzuri wa Qur'ani Tukufu hawezi kuvumilia kutengwa nayo.
Habari ID: 3479872 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/07
Diplomasia
IQNA – Hujjatul Islam Mohseni Qomi, Mkuu wa Masuala ya Kimataifa katika Ofisi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, alisifu misimamo ya Mufti Mkuu wa Russia kuhusu masuala ya kimataifa na kikanda.
Habari ID: 3479871 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/07
Umrah
IQNA - Wanafunzi wapatao 4,50 wa vyuo vikuu vya Iran wameteuliwa kupitia shindano ili kuweza kushiriki Hija ndogo ya Umra.
Habari ID: 3479855 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/04
Harakati za Qur'ani
IQNA – Hafidh wa Qur'ani ambaye pia ni mwanazuoni wa Kiislamu ametaja sifa nyingi ambazo anaamini ni muhimu kwa qari kuwa nazo kwa ajili ya usomaji wenye taathira.
Habari ID: 3479852 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/04
IQNA - Qari wa Iran anayetambulika kimataifa Saeed Parvizi alisoma aya za Qur'ani wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran.
Habari ID: 3479851 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mji wa kaskazini-magharibi wa Tabriz ni mwenyeji wa hatua ya mwisho ya Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran, yaliyoanza kwa sherehe Jumatatu asubuhi.
Habari ID: 3479849 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03
Diplomasia
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Amir wa Qatar na kusisitiza kuwa, kuenea machafuko na vitendo vya kigaidi nchini Syria si kwa manufaa ya nchi yoyote ya eneo hili, hivyo ni wajibu wa nchi zote kushirikiana kupambana na vitendo hivyo vya kigaidi.
Habari ID: 3479847 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03
Aragchi katika mkutano na Rais Assad
IQNA-Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo yake na Rais Bashar al-Assad wa Syria mjini Damascus, kwamba matukio ya Syria ni sehemu ya njama za utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani dhidi ya eneo la Asia Magharibi.
Habari ID: 3479844 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/02
IQNA - Mkuu wa Shirika la Masuala ya Wakfu na Misaada Iran amesema uendelezaji wa maisha kwa mujibu wa mafundisho ya Qur'ani Tukufu ni lengo kuu la mashindano ya Qur'ani katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3479823 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/28
Muqawama
IQNA - Harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah imesema imepata ushindi dhidi ya utawala wa Kizayuni, na kuongeza kuwa adui Mzayuni alijidanganya na hivyo alishindwa kudhoofisha azma ya Hizbullah.
Habari ID: 3479821 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/28
IQNA - Programu ya usomaji wa Qur'ani ilifanyika kwenye sitaha ya meli ya kivita Jeshi la Waamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kusini mwa nchi.
Habari ID: 3479818 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/27
Harakati za Qur'ani
IQNA - Maafisa wa Iran wamezindua mipango miwili mipya yenye lengo la kuhimiza kuhifadhi wa Qur'ani Tukufu miongoni mwa wanafunzi kote nchini.
Habari ID: 3479814 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/26
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Afisa mmoja wa Iran amesema mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani ya Iran yana idadi kubwa zaidi ya washiriki kati ya matukio ya kimataifa ya Qur'ani katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3479791 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/22
Harakati za Qur'ani
IQNA - Mpango wa Qur'ani unaoungwa mkono na Idara ya Haram ya Imam Ridha (AS) unatazamiwa kuwashirikisha Wa iran i wapatao milioni 1 kote nchini, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479788 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/22
Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani
IQNA - Jumuiya ya Masuala ya Wakfu na Misaada Iran imetangaza waliofuzu katika Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani nchini Iran.
Habari ID: 3479772 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/18
Diplomasia
IQNA - Utamaduni ni kitovu cha utambuzi wa utu wa binadamu na haki za kimsingi za binadamu, amesema mwambata wa utamaduni wa Iraq nchini Iran.
Habari ID: 3479745 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/13
Diplomasia
IQNA - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema utawala wa Marekani unaomaliza muda wake unatarajiwa kutumia muda uliobakia madarakani kukomesha hujuma za Israel huko Gaza na Lebanon.
Habari ID: 3479738 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/11
Mazungumzo
IQNA-Mkuu wa Shirika la Iran Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) na waziri wa utamaduni wa Croatia wanesisitiza umuhimu wa kuendeleza mazungumzo ya dini mbalimbali kati ya Iran na Croatia.
Habari ID: 3479712 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/06