Taarifa
IQNA-Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali hatua ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni ya kushambulia baadhi ya vituo vya kijeshi hapa nchini, na kuitaja kuwa ni ukiukwaji wa wazi wa sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3479648 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/26
IQNA – Mbunge wa ngazi za juu katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (bunge la Iran) amepongeza kikosi cha ulinzi wa anga cha Iran kwa kufanikiwa kuzima shambulio la anga la utawala haramu Israel Jumamosi asubuhi.
Habari ID: 3479647 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/26
Katika ujumbe baada ya kuuawa shahidi Sayyid Safieddine
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amempongeza Sayyed Hashem Safieddine, kiongozi wa ngazi za juu wa Hizbullah aliyeuawa shahidi hivi karibuni katika hujuma ya utawala haramu wa Israel, na kuitaja harakati ya muqawama kuwa "mtetezi shupavu zaidi wa Lebanon na ngao madhubuti zaidi dhidi ya uroho wa utawala wa Kizayuni." Aidha amesisitiza kuwa, Hizbullah iko hai na inastawi.
Habari ID: 3479640 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/25
IQNA - Qari wa Iran Seyed Sadeq Moslemi hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani Tukufu kwa nia ya kuwezesha harakati ya muqawama (mapambano ya Kiislamu) ya Wapalestina ipate ishindi dhidi ya adui Mzayuni.
Habari ID: 3479632 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/22
Diplomasia ya Qur'ani
IQNA - Maafisa kutoka Iran na Malaysia wamesisitiza umuhimu wa kuendeleza ushirikiano katika nyanja za Qur'ani.
Habari ID: 3479630 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/22
Diplomasia
IQNA- Rais wa Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Iwapo nchi za Kiislamu zitaungana zenyewe, utawala wa Kizayuni wa Israel hatathubutu kufanya jinai kirahisi na Marekani na nchi za Magharibi pia hazitaunga mkono utawala huo."
Habari ID: 3479608 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/17
IQNA - Hamid Majidimehr ameteuliwa kuwa mkuu wa kamati ya maandalizi ya toleo la 41 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3479593 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/14
Diplomasia ya Qur'ani
IQNA - Kongamano lijalo la Risalatallah linalenga kueneza mafundisho ya Qur'ani Tukufu duniani, amesema mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu.
Habari ID: 3479592 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/14
Muqawama
IQNA - Utawala wa Israel haujapata mafanikio yoyote yanayoonekana huko Gaza tangu Oktoba 7 mwaka jana zaidi ya kuwaua Wapalestina wapatao 42,000, wengi wao wakiwa wanawake na watoto.
Habari ID: 3479555 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/07
Msaada
IQNA - Idadi kubwa ya wataalam wa matibabu wa Iran wametoa wametangaza utayari wao wa kwenda Lebanon kuwahudumia watu wa nchi hiyo ya Kiarabu huku utawala wa Kizayuni, ukiendeleza vita dhidi ya nchi hiyo, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479552 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/07
Diplomasia
IQNA - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu Iran Masoud Pezeshkian amepongeza uhusiano unaokua kati ya na Saudi Arabia, akisisitiza umuhimu wa muunganiko mkubwa zaidi kati ya nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3479533 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/04
IQNA - Iran ina washindani wawili katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Croatia mwaka huu.
Habari ID: 3479498 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/27
Kiongozi Muadhamu
IQNA- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonana na wanaharakati wa Vita vya Kujihami Kutakatifu na Muqawama na kusisitiza kuwa, kambi ya Muqawama ya Palestina na Hizbullah ya Lebanon ndiye mshindi katika Jihadi kwa njia ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479490 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/26
Umoja wa Kiislamu
IQNA - Rais wa Baraza la Ushauri la Mashirika ya Kiislamu ya Malaysia (MAPIM) alitoa wito kwa nchi za Kiislamu kutuma majeshi yao kukabiliana na ukatili wa utawala wa Israel huko Gaza.
Habari ID: 3479487 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/25
Waislamu Nigeria
IQNA - Shule ya Amirul Muminin (AS) huko Abuja, mji mkuu wa Nigeria, imezindua kozi za kuhifadhi Qur'ani kwa wavulana na wasichana.
Habari ID: 3479475 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/23
Wiki ya Umoja wa Kiislamu
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, adui analeta mgawanyiko na mifarakano kati yetu na kubainisha kwamba, Waisraeli milioni 2 au 3 wanawaangamiza Waislamu, wanaua wanawake na watoto, wazee na vijana na wagonjwa, wanapiga mabomu hospitali na misikiti na sisi tumekaa tu na kutazama, kwa sababu hatuna umoja na ndio maana Israel inathubutu kufanya jinai hizi.
Habari ID: 3479453 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/19
Maulidi
IQNA – Wasimamizi wa Haram ya Imam Ridha (AS) katika mji wa Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran wamepanga vikao kadhaa vya Qur'ani Tukufu, wakibainisha kuwa zinalenga kulinda urithi wa Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3479447 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/17
Wiki ya Umoja wa Kiislamu
IQNA - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema umoja kati ya Waislamu si mbinu bali ni "kanuni ya Qur'ani," akiwataka Maulamaa kuzingatia utambulisho wa Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3479445 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/16
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe ya kutunuku washindi wa toleo la 38 la Mashindano ya Qur’ani na Etrat ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Iran ilifanyika Tabriz siku ya Jumatano.
Habari ID: 3479421 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/12
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la 38 la Mashindano ya Qur'an na Etrat kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya Iran lilizinduliwa katika mji wa kaskazini magharibi wa Tabriz siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3479412 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/10