iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewapongeza wanamichezo wa kike Wairani ambao wanashiriki katika michezo ya kimataifa wakiwa wamevaa vazi la staha la Hijabu.
Habari ID: 3471741    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/14

TEHRAN (IQNA) - Mahakama Kuu ya Trinidad na Tobago imetoa hukumu ya kuwaruhusu kuvaa Hijabu maafisa wa polisi wa kike ambao ni Waislamu.
Habari ID: 3471738    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/11

TEHRAN (IQNA)- Takwimu zinaonesha kuwa, asilimia 76 ya vitendo vya chuki dhidi ya Waislamu nchini Ubelgiji mwaka 2017 vilihusu kushambuliwa wanawke Waislamu wanaovaa Hijabu.
Habari ID: 3471665    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/10

TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni nchini Uingereza kumeanza kuuzwa wanaserere waliovishwa Hijabu maarufu kama "Salam Sisters" au "Madada wa Salam" ambao ni nembo ya mwanamke Muislamu anayeweza kuigwa.
Habari ID: 3471564    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/18

TEHRAN (IQNA)- Mahakama ya Leba mjini Berlin, Ujerumani imesema baraza la mji lina haki ya kumzuia mwalimu Mwislamu kuvaa Hijabu na hivyo kutupilia mbali malalamiko yake ya kubaguliwa.
Habari ID: 3471505    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/11

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Jimbo la Texas nchini Marekani imetangaza zawadi ya $5000 kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazopelekea kukamatwa mtu ambaye alimdunga kisu mwanamke Mwislamu katika mji wa Houston.
Habari ID: 3471457    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/07

TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa upinzani Uingereza Jeremy Corbyn ametembelea misikiti kadhaa siku ya Jumapili na kukosoa vikali chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3471397    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/19

TEHRAN-(IQNA)-Kundi la Kiislamu la GainPeace lenye makao yake katika mji wa Chicago nchini Marekani limezindua kampeni ya mabango yenye kuunga mkono hijabu kama vazi lenye kumpa uwezo mwanamke.
Habari ID: 3471395    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/17

TEHRAN (IQNA)-Nchini Canada, binti Muslamu mwenye umri wa miaka 11 ameshambuliwa na Hijabu yake kuraruliwa wakati akiwa njiani kuelekea shuleni katika tukio la hujuma ya chuki dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3471352    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/13

TEHRAN (IQNA)-Baraza Kuu la Waislamu Kenya , Supkem, limetoa wito kwa serikali kuchukua hatua za kuzuia kusumbuliwa wasichana Waislamu wanaovaa Hijabu wakiwa shuleni.
Habari ID: 3471334    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/31

TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Austria wamekosoa matamshi dhid iya vazi la Hijabu ambayo yametamkwa na waziri mpya wa elimu Heinz Fassmann.
Habari ID: 3471332    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/30

TEHRAN (IQNA) Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu Nigeria amekosoa namna wanawake Waislamu wanaovaa Hijabu nchini humo wanavyosumbuliwa.
Habari ID: 3471315    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/18

TEHRAN (IQNA)-Shirika la mavazi ya michezo la Nike limeanza kuuza 'Hijabu ya Wanamichezo' ambayo ni maalumu kwa wanamichezo wa kike Waislamu wanaotaka kujisitiri.
Habari ID: 3471305    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/11

TEHRAN (IQNA)-Mwalimu mmoja wa kiume katika jimbo la Virginia Marekani ameadhibiwa kwa likizo ya lazima baada ya kupatikana na hatia ya kuivua Hijabu ya mwanafunzi wake Mwislamu.
Habari ID: 3471269    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/18

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa masuala ya Familia na Wanawake Malaysia Seri Rohani Abdulkarim amekosoa hatu ya baadhi ya hoteli nchini humo kuwapiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa Hijabu wakiwa kazini.
Habari ID: 3471266    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/16

TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Marywood katika jimbo la Pennsylvania nchini Marekani kimepanga kuandaa ‘Siku ya Kuvaa Hijabu’ mnamo Novemba 15.
Habari ID: 3471253    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/07

TEHRAN (IQNA)- Shirikisho la Mpira wa Kikapu Duniani (FIBA) limechukua uamzui wa kihistoria wa kuondoa marufuku ya muda mrefu ya wanawake Waislamu kuvaa Hijabu wanapocheza.
Habari ID: 3471202    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/03

TEHRAN (IQNA)-Bunge la Ufilipino limepitisha muswada wa sheria ya kutangaza tarehe mosi Februari kila mwaka kuwa Siku ya Kitaifa ya Hijabu nchini humo.
Habari ID: 3471201    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/02

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Tajikistan imetangaza kuwazuia wanawake wa nchi hiyo kuvaa vazi la staha la Hijabu ikiwa ni muendelezo wa vita dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3471110    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/07

TEHRAN (IQNA)- Bi. Deedra Abboud, ni mwanamke Mwislamu ambaye anawania kiti katika Bunge la Senate nchini Marekani huku akilalamika kuwa anakabiliwa na chuki dhidi ya Uislamu ambazo sasa ni jambo la kawaida katika nchi hiyo.
Habari ID: 3471096    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/01