iqna

IQNA

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Mwanamke mmoja Muislamu ameuhujumiwa akiwa ndani ya treni mjini London ambapo Hijabu yake imevutwa na mtu anayeaminikwa kuwa ni mwenye chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474960    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/22

TEHRAN (IQNA)- Wanafunzi wenye majina ya Kiislamu Ufaransa wanabaguliwa wakati wanapowasilisha maombi ya kujiunga na vyuo vikuu nchini humo.
Habari ID: 3474943    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/18

TEHRAN (IQNA)- Huku mzozo wa Hijabu ukiendelea kutokota katika jimbo la Karnataka nchini India, wanawake Waislamu wameandamana katika mji wa Ludhiana, jimboni Punjab kuunga mkono haki ya kuvaa Hijabu.
Habari ID: 3474924    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/13

TEHRAN (IQNA)- Mchezaji nyota wa Manchester United, Paul Pogba aliingia kwenye mitandao ya kijamii siku ya Alhamisi na kusambaza video yenye kuwatetea wanawake Waislamu India wanaovaa Hijabu kufuatia mzozo unaoendelea kuhusu Hijab katika Jimbo la Karnataka nchini India.
Habari ID: 3474914    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/10

TEHRAN (IQNA)- Klipu iliyowekwa kwenye mtandao wa Twitter ikimuonyesha mwanafunzi Muislamu aliyevaa hijabu akibughudhiwa kwa maneno na genge la wahindu wenye misimamo ya kufurutu mpaka katika chuo kimoja cha jimbo la Karnataka nchini India, imezusha moto wa hasira na kuzidisha malalamiko ya kupinga marufuku ya uvaaji hijabu iliyowekwa katika taasisi za elimu za jimbo hilo.
Habari ID: 3474910    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/09

TEHRAN (IQNA)- Katiba ya Nigeria inaruhusu wanawake wa Kiislamu kuvaa Hijabu kulingana na mafundisho ya imani yao, waziri wa elimu wa nchi hiyo ya Kiafrika alisema.
Habari ID: 3474903    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/07

TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Tanzania kimeandaa maonyesho ya Hijabu kwa ushirikiano na Taasisi ya Pink Hijab.
Habari ID: 3474897    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/06

TEHRAN (IQNA)- Baraza la Seneti la Ufaransa limepiga kura na kuidhnisha sheria inayopiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa vazi la stara na heshima la Hijabu katika mashindano ya michezo.
Habari ID: 3474830    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/20

TEHRAN (IQNA)- Mfanya biashara mwanamke Muislamu Mjamaica ametoa wito kwa serikali ya nchi hiyo kutekeleza sera ya kutowabagua wanawake Waislamu maeneo ya kazi na vituo vya elimu sambamba na kulinda haki zao.
Habari ID: 3474822    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/18

TEHRAN (IQNA)- Ubelgiji imeondoa marufuku ya uvaaji vazi la stara ya mwanamke wa Kiislamu Hijabu iliyokuwa imewekwa kwa wale wanaoingia katika mahakama za nchi hiyo.
Habari ID: 3474677    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/15

TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau imetangaza kuchukua hatua za kisheria dhidi ya sheria ya jimbo la Quebec ambayo imepelekea mwalimu mmoja Muislamu ahamishwe kazi kwa sababu tu alikuwa amevaa Hijabu.
Habari ID: 3474665    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/11

TEHRAN (IQNA)- Wanafuzni Waislamu katika Chuo Kikuu cha Kyambogo mjini Kampala nchini Uganda wanataka chuo hicho kiwaajiri maafisa usalama wanawake wanawake ambao watakua na jukumu la kuwapekua wanafunzi wa kike.
Habari ID: 3474654    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/08

TEHRAN (IQNA) – Waislamu nchini Nigeria wamemtaka wazili wa elimu nchini humo Adamu Adamu aingilie kati kuzuia kusumbuliwa wasicana Waislamu wanaochagua kuvaa Hijabu shuleni.
Habari ID: 3474646    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/06

TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimekosoa uamuzi wa shule moja Uhispania kupiga marufuku vazi la Hijabu na kutaja kitendo hicho kuwa ni ubaguzi.
Habari ID: 3474523    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/06

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Ufaransa inapinga kampeni ya uhuru wa kuvaa Hijabu katika nchi za Umoja wa Ulaya jambo ambalo limepelekea video na picha za kampeni hiyo kufutwa katika mtandao wa Twitter.
Habari ID: 3474514    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/04

TEHRAN (IQNA)- Mwanamke mmoja Muislamu katika jimbo la Michigan nchini Marekani amelalamika kuwa polisi walimvua Hijabu baada ya kumkamata. Alivuliwa Hijabu katika kituo cha polisi wakati wa kupigwa picha.
Habari ID: 3474319    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/20

TEHRAN (IQNA)- Bi. Samia Suluhu Hassan mapema leo asubuhi, saa nne asubuhi kwa majira ya Afrika Mashariki ameapishwa kuwa rais wa 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Habari ID: 3473746    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/19

TEHRAN (IQNA)- Wanawake wawili Waislamu waliokuwa wamevaa hijabu walihujumiwa sehemu mbili tafauti Jumatano mjini Edmonton Canada.
Habari ID: 3473628    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/06

TEHRAN (IQNA) Wanawake Waislamu nchini Nigeria wamemtaka rais wa nchi hiyo Muhammadu Buhari na magavana wa majimbo watunge sheria za kuwaadhibu wale wanaowabagua wanawake Waislamu kwa sababu tu wamevaa Hijabu.
Habari ID: 3473624    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/05

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi maarufu wa upinzani wa mrengo wa kulia wenye kufurutu ada nchini Ufaransa, Marine Le Pen amependekeza kuwa vazi la Kiislamu la Hijabu lipigwe marufuku kabisa katika maeneo yote ya umma nchini humo.
Habari ID: 3473604    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/30