IQNA – Mwanamke wawili Waislamu nchini Marekani wamewasilisha kesi dhidi ya Kaunti ya Orange na idara yake ya sheriff, wakidai kuwa maafisa walilazimisha kuondolewa kwa hijabu zao wakati wa kuwatia mbaroni katika maandamano ya mwaka 2024 huko UC Irvine.
Habari ID: 3480883 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/02
IQNA – Shirika la haki za binadamu la Kiislamu nchini Nigeria limekaribisha uamuzi wa hivi karibuni wa gavana wa Jimbo la Jigawa kuruhusu wanawake Waislamu wanaofanya kazi katika kampuni binafsi za usalama kuvaa Hijabu kama sehemu ya sare zao.
Habari ID: 3480567 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/20
IQNA – Wanamichezo wanawake wa Kiislamu nchini Ufaransa wamejitokeza kupinga muswada mpya wa sheria unaolenga kupiga marufuku uvaaji wa Hijabu katika mashindano ya michezo ya kitaifa, wakisema hatua hiyo inakiuka uhuru wa dini na kujieleza.
Habari ID: 3480491 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/04
IQNA-Chama cha Wanafunzi Waislamu wa Ufaransa (EMF) kimelaani vikali pendekezo la sheria inayopiga marufuku uvaaji wa Hijabu katika mashindano ya michezo, likiitaja kuwa "ya kibaguzi, ya chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na ya ubaguzi wa kijinsia."
Habari ID: 3480247 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/21
Waislamu Ethiopia
IQNA – Maelfu ya Waislamu walihudhuria maandamano mjini Mekelle, Ethiopia, siku ya Jumanne kupinga hatua ya shule za Axum kuwazuia wanafunzi wa kike wanaovaa Hijabu kuhudhuria masomo.
Habari ID: 3480096 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/23
Waislamu Kanada
IQNA – Mji wa Montreal utatuma ujumbe usio sahihi ikiwa utatoa bango kukaribisha katika ukumbi wa jiji ambalo linajumuisha mwanamke aliyevaa Hijabu.
Haya ni kwa mujibu wa kundi la kitaifa la kutetea Waislamu wa Kanada.
Habari ID: 3479680 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/01
Uislamu Russia
IQNA - Mufti Mkuu wa Jamhuri ya Chechnya katika Shirikisho la Russia Sheikh Salah Mezhiev amekosoa marufuku ya hivi karibuni ya Hijabu na mavazi mengine ya kidini katika shule za baadhi ya maeneo nchini humo, na kuitaja kuwa ni kinyume cha katiba na ukiukaji wa uhuru wa dhamiri na dini.
Habari ID: 3479669 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/30
IQNA - Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wametoa wito kwa Ufaransa kubatilisha hatua zake za kibaguzi zinazopiga marufuku wanawake na wasichana kuvaa Hijabu wanapocheza michezo, huku wakiitaka Ufaransa kufuata majukumu ya kimataifa ya haki za binadamu.
Habari ID: 3479664 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/29
Waislamu Russia
IQNA-Serikali ya Russia imelegeza masharti ya kanuni zinazohusu maombi ya raia wa kigeni wanaoomba uraia, na itaruhusu mwanamke wa Kiislamu kutumia picha za paspoti zinazomuonesha akiwa amevaa vazi la staha la Kiislamu la Hijabu. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi hiyo.
Habari ID: 3478767 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/04
Waislamu Marekani
IQNA - Mapatano yamefikiwa katika kesi inayohusu jela ya Mkoa wa Warren iliyoko Bowling Green, Kentucky, nchini Marekani kuhusu mwanamke Muislamu kunyimwa haki yake ya kidini ya kuvaa Hijabu.
Habari ID: 3478701 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/19
Waislamu Marekani
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Dawah cha Milwaukee nchini Marekani kimeandaa hafla ya Henna & Hijab siku ya Jumamosi, Februari 3, kuheshimu Hijabu inayovaliwa na wanawake wa Kiislamu.
Habari ID: 3478337 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/11
Katika Mahojiano na IQNA
IQNA - Siku ya Hijabu Duniani imekubaliwa duniani kote kama jukwaa la kukuza uelewano, uvumilivu, na mshikamano, mwanzilishi wa vuguvugu hilo alisema.
Habari ID: 3478289 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/02
Chuki dhidi ya Uislamu Marekani
IQNA - Mwanamke Mwislamu ambaye alikamatwa na Idara ya Polisi ya Kaunti ya Suffolk (SCPD) huko New York mnamo 2022 anaishtaki idara hiyo kwa kukiuka haki zake na kumsababishia madhara ya kisaikolojia baada ya maafisa kuvua hijabu yake kwa nguvu.
Habari ID: 3478218 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/19
Chuki dhidi ya Uislamu
BRUSSELS (IQNA) - Mahakama kuu ya Umoja wa Ulaya imeamua Jumanne kwamba waajiri wa umma katika nchi wanachama wanaweza kupiga marufuku wafanyakazi kuvaa ishara zozote zinazoonekana za imani ya kidini, ikiwa ni pamoja na vazi la staha katika Uislamu, Hijabu, na hivyo kuashiria pigo kwa uhuru wa dini wa mamilioni ya wanawake Waislamu barani humo.
Habari ID: 3477961 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/29
Chuki dhidi ya Uislamu
PARIS (IQNA) - Mwanafikra wa Morocco amekosoa uamuzi wa Ufaransa wa kuwakataza wanariadha wake kuvaa hijabu ambayo huvaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu, wakati wa Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024, akisema inafichua upofu na msimamo mkali wa mawazo ya kisiasa ya Ufaransa.
Habari ID: 3477696 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/07
Waislamu Ufaransa
PARIS (IQNA) - Mwanafunzi wa Kiislamu wa Ufaransa, aliyekataliwa hivi majuzi kuingia shuleni kwake huko Lyon kwa kuvaa vazi la Kijapani la Kimono, amepeleka kesi yake kwenye Umoja wa Mataifa (UN), akisema amebaguliwa kwa misingi ya imani yake ya kidini.
Habari ID: 3477639 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/23
Afisa wa HIzbullah
TEHRAN (IQNA) – Afisa wa vuguvugu la muqawama la HIzbullah la Lebanon alisema Hijab inawapa wanawake wa Kiislamu utambulisho na mamlaka.
Habari ID: 3477092 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/03
Haki za Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Mamia ya wanafunzi wa kike wa Kiislamu wamezishtaki shule kadhaa nchini Gambia, wakizituhumu kwa kupiga marufuku vazi lao la Hijabu.
Habari ID: 3476987 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/11
Chuki dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Shirika moja lisilo la kiserikali imeripoti kuwa, wanawake Waislamu wanaovaa vazi la staha la Hijabu nchini Austria wanakabiliwa ubaguzi na mashambulio ya wenye chuki dhidi ya Uislamu ikilinganishwa katika nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3476783 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/30
Msomi wa Misri
TEHRAN (IQNA) –Mhadhiri wa chuo kikuu kutoka Misri anasema mafanikio ya wanawake wa Kiislamu katika nyanja tofauti yanasambaratisha "simulizi potofu" na "fikra potofu" kuhusu Uislamu na Waislamu.
Habari ID: 3476680 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/08