iqna

IQNA

Mahakama ya Rufaa nchini Kenya imeamuru wasichana Waislamu nchini humo wanaruhusiwe kuvaa vazi la stara ya mwanamke wa Kiislamu Hijabu wakiwa shuleni.
Habari ID: 3470557    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/10

Afisa Mwislamu wa kike katika polisi ya Marekani mjini Dearborn kwenye jimbo la Michigan amekuwa afisa wa kwanza eneo hilo kuhudumu akiwa amevaa sare ya Hijabu .
Habari ID: 3470537    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/27

Mwanamke Mwislamu nchini Marekani amefutwa kazi baada kutokana na kuvaa vazi la Hijabu akiwa kazini.
Habari ID: 3470501    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/07

Mwanamke Mwislamu mwenye umri wa miaka 25 amedhalilishwa baada ya kunyimwa kazi kutokana na vazi lake la Hijabu.
Habari ID: 3470475    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/26

Waislamu nchini Nigeria wamepongeza hukumu ya Mahakama ya Rufaa mjini Lagos kubatilisha marufuku ya wasichana Waislamu kuvaa Hijabu katika shule za serikali mjini humo.
Habari ID: 3470472    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/25

Mwaka moja uliopita, Indira Kaljo, mwanamke Mwislamu mcheza basketboli, aliamua kuvaa vazi la staha la Kiislamu, Hijabu.
Habari ID: 3470469    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/23

Wanawake wanaohudumu katika Shirika la Ndege la Air France wamefahamishwa kuwa ni sharti wavae Hijabu wakati ndege yao inaposimama nchini Iran.
Habari ID: 3470227    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/03

Profesa Mkristo katika Chuo Kikuu cha Kikristo huko Illinois Marekani aliyevaa hijabu kubainisha mshikamano wake na Wamarekani Waislamu wanaobaguliwa ametimuliwa chuoni hapo.
Habari ID: 3465818    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/19

Shirikisho la Kimataifa la Basketboli FIBA limewaruhusi wachezaji wanawake Waislamu kuvaa Hijabu katika mechi za mchezo huo mashuhuri.
Habari ID: 3353719    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/29

TEHRAN (IQNA)- Mwezi moja baada ya kutangaza kuikumbatia dini tukufu ya Kiislamu, Emmanuel Adebayor, mchezaji soka mashuhuri Mwafrika nchini Uingereza ambaye sasa ni mshambuliaji wa Tottenham, amefafanua sababu zilizompelekea kusilimu.
Habari ID: 3338997    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/04

Bi.Samantha Elauf aliyenyimwa kazi na shirika la Abercrombie & Fitch nchini Marekani kwa sababu alivaa vazi la staha la Hijabu wakati wa mahojiano ya kutafuta kazi sasa amelipwa fidia kufuatia amri ya mahakama.
Habari ID: 3334845    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/25

Taasisi ya juu zaidi ya Waislamu Nigeria, Jama'atu Nasril Islam, JNI, imetangaza kupinga vikali takwa la kupigwa marufuku hijabu nchini humo baada ya baadhi ya magaidi kutumia vazi hilo la stara la kufunika mabomu wanayosheheni mwilini.
Habari ID: 3328801    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/16

Mjumbe katika Baraza la Kaunti ya mji wa Kisumu magharibi mwa Kenya amekosoa uamuzi wa Mahakama Kuu kuwapiga marufuku wanafunzi Waislamu katika Kaunti ya Isiolo kuvaa Hijabu.
Habari ID: 2968360    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/12

Rais John Mahama wa Ghana amesema wanawake Waislamu nchini humo wana haki ya kuvaa vazi la Hijabu.
Habari ID: 2930968    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/05

Tehran (IQNA) - Waandalizi wa ‘Siku ya Hijabu Duniani’ wanatazamia Waislamu na wasiokuwa Waislamu wanatazamiwa kushiriki katika maadhimisho ya siku hiyo Februari 1 mwaka huu wa 2015.
Habari ID: 2790522    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/31

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Ege kilichoko katika mji wa Izmir nchini Uturuki amehukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka miwili jela, baada ya kumzuia mwanafunzi aliyevaa hijabu ya Kiislamu kuingia darasani.
Habari ID: 2613249    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/30

Jaji wa Mahakama Kuu ya mji wa Lagos nchini Nigeria ametetea na kuungamkono marufuku iliyokuwa imetangazwa kwa vazi la hijabu ya Kiislamu kwa shule za serikali katika mji huo.
Habari ID: 1461427    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/19

Mahakama moja ya Kenya imetoa uamuzi wa kupiga marufuku vazi la Hijabu katika shule moja nchini humo jambo ambalo limewakasirisha sana Waislamu wakiwemo wazazi na wanazuoni wa Kiislamu ambao wameitaja hukumu hiyo kuwa ni hatua nyuma katika uhuru wa kuabudu nchini humo.
Habari ID: 1455483    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/29

Shirikisho la Mpira wa Kikapu Duniani (FIBA) limetangaza mpango wa kuangalia upya sheria inayopiga marufuku vazi la hijabu katika michezo ya kimataifa.
Habari ID: 1455017    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/28