IQNA

13:04 - June 28, 2020
Habari ID: 3472906

Qarii wa Misri asoma Qur’ani akiwa amevaa barakoa + Video

TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Qur’ani nchini Misri, Sheikh Abdul Fattah Taruti amesoma Qur’ani Tukufu akiwa amevaa barakoa.

Qarii wa Misri asoma Qur’ani akiwa amevaa barakoa + Video

Katika klipu ya video ambayo imeenezwa katika mitandao ya kijamii kupitia  chuo cha Darul Qur’an al Karim kinachofungamana na Kituo cha Kiislamu cha Hamburg, Ujerumani , qarii huyo wa mashuhuri anasoma Qur’ani Tukifi akiwa amevaa barakoa.

Klipu hiyo inamyonyesha akisoma aya za Qur’ani Tukufu za Surah Ar-Rum. Sheikh Taruti na baadhi ya hadhirina wanaonekana wakiwa wamevaa barakoa ikiwa ni katika kufuata kanuni zilizowekwa za kuzuia kuenea ugonjwa wa corona au COVID-19.

3907265

captcha