IQNA

16:24 - August 12, 2020
Habari ID: 3473059

Mtoto mdogo Muafrika akisoma Qur’ani Tukufu kwa ustadi

TEHRAN (IQNA) – Klipu ya Qur’ani Tukufu ya moto Muafrika akisoma Qur’ani Tukufu kwa ustadi imesambaa katika mitandao ya kijamii.

Mtoto mdogo Muafrika akisoma Qur’ani Tukufu kwa ustadi

Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA, mtoto huyo Muafrika ambaye jina lake halikutajwa anasikika akisema aya za 21 hadi 23 za Surah Al-Hashr. Wengi waliosikiliza qiraa hiyo wamesema motto huyo ana mustakabali mwema wa usomaji Qur’ani Tukufu.

Kishikizo: qiraa qurani tukufu
captcha