IQNA

17:04 - February 20, 2021
Habari ID: 3473666

Theluji nadra yanyesha katika Mji wa Quds na kubadilisha mandhari

TEHRAN (IQNA)- Mji Mtakatifu wa Quds (Jerusalem) umeshuhudia tukio nadra ya mvua ya theluji Alhamisi.

Theluji nadra yanyesha katika Mji wa Quds na kubadilisha mandhari

Theluji hiyo ilisambaa katika eneo lote la Msikiti wa Al Aqsa na Qubbat aṣ-Ṣakhra na kuwavuatia waumini ambao wengine wameonekana kusujudu kama njia ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kutokana na neema hiyo.

 

 

Kishikizo: al aqsa theluji
captcha