iqna

IQNA

Jinai za Israel
IQNA - Kundi la walowezi haramu wa Kizayuni wa utawala haramu Israel wamechoma moto Msikiti wa Bir Al-Walidain katika kijiji cha Marda, kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3479925    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/20

IQNA-Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Israel usitishe mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Ukingo wa Magharibi ambayo yamepelekea Wapalestina wasiopungua 17 kuuawa shahidi.
Habari ID: 3479347    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/29

Harakati za Qur'ani
IQNA – Kikao cha kuhitimisha Qur’ani kimefanyika huko Nablus, Ukingo wa Magharibi Palestina, wikendi hii iliyopita.
Habari ID: 3479342    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/28

Kadhia ya Palestina
Makundi ya kisiasa na kijamii ya Palestina yamepongeza uamuzi uliotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) wa kutazama ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika eneo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu na Israel la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kuwa haramu na kinyume cha sheria.
Habari ID: 3479153    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/20

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Kijana wa Kipalestina aliuawa shahidi wakati wa uvamizi wa wanajeshi katili wa Israel karibu na mji wa Jenin katika sehemu ya kaskazini ya Ukingo wa Magharibi.
Habari ID: 3475788    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/15

TEHRAN (IQNA)- Vikosi vya kijeshi vya utawala ghasibu wa Israel vimempiga risasi na kumuua shahidi kijana mwingine wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3475735    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/05

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa Israel wamemuua kijana wa Kipalestina wakati wa kukamatwa katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu
Habari ID: 3475423    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/25

Udhalimu wa Israel
TEHRAN (IQNA) - Nyumba za Wapalestina zilibomolewa na wanajeshi wa utawala dhalimu Israel huko Al-Quds (Jerusalem) na mji wa Ukingo wa Magharibi wa Ramallah siku ya Jumatano.
Habari ID: 3475412    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/22

TEHRAN (IQNA)-Utawala wa Kizayuni wa Israel umezindua mpango haramu wa kujenga nyumba mpya zipatazo elfu nne katika eneo la Ukingo wa Magharibi, Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3475219    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/07

TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamebomoa msikiti wa Wapalestina katika mji wa Duma, kusini mwa eneo linalokaliwa kwa mabavu na utawala huo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474520    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/05

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesiistiza ulazima wa kuuwajibisha utawala haramu wa Israeli kwa uhalifu wake dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3474141    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/30

TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewahujumu Wapalestina waliokuwa wakiandamana kwa amani dhidi ya ujenzi wa vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni katika mji wa Nablus ulio katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474065    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/03

TEHRAN (IQNA) – Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewashambulia Wapalestina waliokuwa wakiandamana katika kijiji cha Beit Dajan katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kupinga ujenzi wa vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni.
Habari ID: 3473625    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/06

TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamebomoa msikiti na majengo kadhaa ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3473596    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/27

TEHRAN (IQNA) – Wapalestina wameandaman katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kupinga hatua ya utawala haramu wa Israel kuendelea kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni.
Habari ID: 3473585    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/23

TEHRAN (IQNA) – Utawala wa Kizayuni wa Israel umeidhinisha ujenzi wa nyumba mpya 2,166 za walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3473263    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/15

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni umeamua kujenga maelfu ya nyumba za walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wapalestina unazoendelea kupora huko Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3473235    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/06

TEHRAN (IQNA) - Utawala haramu wa Kizayuni umekusudia kunyakua asilimia 30 zaidi ya ardhi za Palestina za Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan ilizozivamia na kuanza kuzikalia kwa mabavu mwaka 1967 na kuziunganisha na ardhi zingine ilizozipa jina la Israel, ukiwa ni muendelezo wa malengo yake ya muda mrefu ya kuikalia kwa mabavu Palestina yote.
Habari ID: 3472967    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/16

TEHRAN (IQNA) – Wanajeshi wa Utawala wa Kizayuni wa Israel wamwashambulia na kuwafyatulia risasi Wapalestina ambao walikuwa wanashiriki katika mazishi ya Mpalestina, Ibrahim Mustafa Abu Yakub.
Habari ID: 3472952    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/12

TEHRAN (IQNA) - Mpalestina ameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3472947    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/10