Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Maadhimisho ya miaka 40 ya kuasisiwa Idhaa ya Qur'ani ya Iran yamefanyika katika hafla iliyofanyika hapa Tehran siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3476548 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/11
TEHRAN (IQNA)- Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) limetoa taarifa na kulaani hatua ya tovuti zake kadhaa na za mrengo wa muqawama kufungwa na serikali ya Marekani na kusema kitendo hicho ni ukiukwaji wa wazi wa uhuru wa maoni na ni hujuma dhidi ya vyombo huru vya habari.
Habari ID: 3474036 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/23
TEHRAN (IQNA)- Televisheni ya Qur’ani ya Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) imezindua kipindi kipya cha kurusha hewani qiraa ya Qur’ani Tukufu ya wasomaji maarufu wa Misri.
Habari ID: 3473542 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/10
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) ni ngome hai na ya mstari wa mbele ya kukabiliana na vita laini.
Habari ID: 3384712 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/12
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemteua Dakta Muhammad Sarafraz kuwa Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) kwa kipindi cha miaka mitano.
Habari ID: 1471116 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/08