iqna

IQNA

SCO
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai ( SCO ) inaweza kuwa kichocheo muhimu cha mtazamo mmoja wa pande kadhaa ulimwenguni.
Habari ID: 3474307    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/17

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili katika mji mkuu wa Tajikistan, Dushanbe, ambako anashiriki mkutano wa wakuu wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai ( SCO ) unaofanyika nchini humo leo na kesho.
Habari ID: 3474303    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/16