iqna

IQNA

Kiiibrahimu
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri Sheikh Ahmed el Tayyib, amekosoa jitihada za utumizi wa istilahi ya 'Dini ya Kiibrahimu' kwa lengo la kuziunganisha dini za Kiislamu, Kikristo na Kiyahudi.
Habari ID: 3474533    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/09