iqna

IQNA

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu amesisitiza udharura wa kudumishwa umoja wa Waislamu kwa ajili ya kutatua matatizo ya Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3336969    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/30

Sayyid Hassan Nasrallah
Sayyid Hassan Nasrallah Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuutisha uwepo wa utawala wa Kizayuni wa Israel ni kati ya mafanikio makubywa ya harakati hiyo.
Habari ID: 3336437    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/28

Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon
Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon Gebran Bassil amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unafaidika sana na mgogoro baina wa Waislamu wa madhehebu ya Shia na Suni.
Habari ID: 3311306    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/06

Sayyid Hassan Nasrallah
Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah Sayyid Hassan Nasrallah ameuonya vikali utawala wa Israel kuhusu hujuma dhidi ya Lebanon.
Habari ID: 3311179    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/06

Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa chama cha Hizbullah cha Lebanon ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Syria kwa kuuunga mkono muqawama katika kupambana na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3307601    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/25

Sayyid Hassan Nasrallah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Lebanon, Hizbullah, amesema kuibuka Matakfiri ni katika njama za Marekani na Wazayuni.
Habari ID: 3304295    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/17

Wakimbizi Wapalestina walio katika nchi mbali mbali duniani wanakabiliwa na matatizo makubwa sana. Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa onyo kuhusu hali mbaya sana ya wakimbizi Wapalestina.
Habari ID: 3023920    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/22

Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa chama cha Hizbullah cha nchini Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, amesema kuwa, harakati hiyo imejiandaa kikamilifu kukabiliana kwa aina yoyote na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kwamba haiwezekani utawala huo uue watu kisha uishi salama.
Habari ID: 2790516    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/31

Kamanda wa Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kamanda wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC amesema mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni yataendelea hadi Quds Tukufu ikombolewe.
Habari ID: 2743221    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/22

Katibu Mkuu wa chama cha Hizbullah cha nchini Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, amesema kuwa vitendo vinavyofanywa na makundi ya kigaidi na kitakfiri, ninamtukanisha Mtume Muhammad SAW, Qur'ani na umma wa Kiislamu.
Habari ID: 2692014    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/10

Mjumbe maalumu wa rais Vladimir Putin wa Russia amekutana na kufanya mazungumzo na katibu mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.
Habari ID: 2615883    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/07

Katibu Mkuu wa Harakatiya Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa, machafuko na migogoro inayoendelea kushuhudiwa katika eneo la Mashariki ya Kati haifungamani kabisa na Ushia wala Usuni, bali ni mkakati maalumu wa Marekani wenye lengo la kutaka kulidhibiti eneo hili nyeti.
Habari ID: 1470085    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/04

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah amesema, migogoro inayoendelea hivi sasa Mashariki ya Kati ina lengo la kuchora upya ramani ya eneo hili.
Habari ID: 1462702    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/21

Sayyid Hassan Nasrullah
Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kipaumbele cha kwanza cha Hizbullah ni kukabiliana vikali na makundi ya kigaidi na kitakfiri na kuzuia kuenea machafuko nchini Lebanon.
Habari ID: 1456409    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/01

Sayyid Nasrallah
Katibu Mkuu wa chama cha Hizbullah cha Lebanon amesema kuwa Marekani haina ustahiki wa kiakhlaqi wa kuendesha mapambano dhidi ya ugaidi. Sayyid Hassan Nasrullah ameyasema hayo kupitia hotuba aliyoitoa jana usiku.
Habari ID: 1454360    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/27

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa muqawama umejiandaa kikamilifu dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni na kwamba katika vita vijavyo na jeshi la utawala huo, hakutakuwa na mstari wowote mwekundu na adui huyo.
Habari ID: 1439340    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/15

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa, harakati hiyo itaendelea kuwaunga mkono wananchi madhlum wa Palestina na muqawama wao na kwamba harakati hiyo haitasita hata kidogo kutoa msaada wowote unaohitajika katika kupambana na adui Wazayuni.
Habari ID: 1433637    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/26

Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon, amesema kuwa kushiriki kwa wingi Wasyria katika uchaguzi wa rais nchini humo ni thibitisho kwa ulimwengu kwamba, mashinikizo ya Wamarekani na madola ya Magharibi na Kiarabu dhidi ya Syria, yameshindwa.
Habari ID: 1414962    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/07

Sayyid Hassan Nasrullah
Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa Harakati ya mapambano (Muqawama) ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon, amesema kuwa, Iddi au siku kuu ya muqawama na kukombolewa kusini mwa Lebanon ni Iddi ya taifa na umma mzima wa Kiislamu.
Habari ID: 1411327    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/26

Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu,Hizbullah, nchini Lebanon amesema iwapo wanamapambano wa harakati hiyo wasingeliingia nchini Syria, makundi ya kigaidi na kitakfiri yangeliwanyanyasa wananchi wote wa Lebanon.
Habari ID: 1389973    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/30