iqna

IQNA

wapalestina
Jinai za Israel
GAZA (IQNA) - Msikiti wa kihistoria wa Othman bin Qashqar, ulioko katika Jiji la Kale la Gaza ulilipuliwa kwa mabomu yaliyodondoshwa na ndege za kivita za utawala haramu Israel siku ya Alhamisi, na kusababisha Wapalestina kadhaa kuuawa shahidi na uharibifu wa nyumba zilizo karibu, shirika rasmi la habari la Palestina WAFA liliripoti.
Habari ID: 3478005    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/08

Watetezi wa Palestina
DOHA – IQNA: Muungano wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umetoa wito wa kufanyika maandamano na mikutano kote duniani Ijumaa hii kuunga mkono Wapalestina wanakandamizwa Gaza na Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) sambamba na kulaani utawala wa dhalimu wa Israel.
Habari ID: 3478000    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/07

Watetezi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)- Watu wa Iran ya Kiislamu jana Jumamosi walishiriki katika maandamano makubwa kote nchini kuwatetea watoto wanaoendelea kuuawa wa Palestina sambamba na kulaani "mauaji ya watoto wachanga", "uhalifu", "mauaji ya kimbari", "mauaji ya halaiki", "ugaidi", "uhalifu wa kivita" na "maafa ya binadamu" yanayoendelea katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3477915    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/19

Vikosi vya Israel vimeripotiwa kuwafukuza waumini wa Kiislamu katika Msikiti wa al-Aqsa ili kujiandaa na uvamizi haramu wa walowezi wa Israel.
Habari ID: 3477175    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/21

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa unasema mwaka 2022 unasalia kuwa mwaka mbaya zaidi kwa Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi tangu 2005, huku katika kipindi cha mwezi moja Wapalestina 19 wakiuawa shahidi katika mashambulizi ya wanajeshi wa utawala haramu wa Israel katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3476264    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/18

Wapalestina wa Gaza
TEHRAN (IQNA) – Katika sherehe huko Gaza, wafungwa 77 wa Kipalestina ambao wameweza kuhifadhi Qur’ani Tukufu wameenziwa.
Habari ID: 3476180    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/01

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- NMratibu wa Misaada ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa katika Maeneo Yanayokaliwa kwa Mabavu ametangaza katika ripoti yake kwamba mwaka huu wa 2022 ulikuwa mwaka wa umwagaji damu zaidi katika ardhi za Palestina katika kipindi cha miaka 16 iliyopita.
Habari ID: 3475973    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/22

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani uamuzi wa utawala ghasibu wa Israel kuwazuia Waislamu kuingia katika Msikiti wa Nabii Ibrahim (AS) katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Al Khali (Hebron) katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3475925    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/13

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Chama kikubwa zaidi nchini Jordan kimeonya kuhusu ongezeko la walowezi wa Kizayuni Waisraeli ambao wanatekeleza hujuma za kichochezi dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa huko al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3475824    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/22

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Walowezi wa Kizayuni waliwashambulia Wapalestina katika Mji Mkongwe wa al-Quds (Jerusalem) na kujeruhi takriban 21 kati yao wakiwemo watoto.
Habari ID: 3475819    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/21

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kuanzia 22 Agosti, mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika jela za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel walianzisha mgomo usio na kikomo wa kula chakula wakilalamikia hatua za kidhalimu na maafisa wa utawala huo katika magereza.
Habari ID: 3475679    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/25

Uuungaji mkono Palestina
IQNA (TEHRAN )- Wananchi wa Iran jana Jumanne walifanya maandamano katika mji mkuu Tehran kulaani jinai za utawala wa Kizayuni za kuwaua shahidi wanawake na watoto wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3475605    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/10

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu katika Ukanda wa Gaza imeandaa vikao katika misikiti miwili katika eneo hilo lililozingirwa la Palestina ili kutathmini ujuzi wa Qur’ani Tukufu wa wavulana na wasichana waliohifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3475543    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/26

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Jihad Islami (Jihadi ya Kiislamu) ya Palestina imelaani vikali jinai ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel ambao umewaua vijana wawili Wapalestina na kusema ukatili kama huo hauwezi kuvuruga azma ya Wapalestina kupigiania ukombozi wao.
Habari ID: 3475533    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/24

Sala ya Ijumaa
TEHRAN (IQNA) – Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al-Aqswa huko al-Quds (Jerusalem) ilihudhuriwa na makumi ya maelfu ya waumini Wapalestina jana, ambayo iliadhimisha Siku ya Arafah.
Habari ID: 3475480    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/09

Ismail Haniya
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema mrengo wa muqawama au mapambano utalipiza kisasi cha damu za vijana watatu wa Kipalestina waliouawa shahidi hivi karibuni na jeshi katili la utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3474916    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/11

TEHRAN (IQNA)- Wafungwa Wapalestina wakiwa katika mahakama moja ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Nazareth wamempongeza Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah Sayyed Hassan Nasrallah.
Habari ID: 3474657    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/08

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeipongeza Malaysia kwa msimamo wake wa kupinga kuanzisha uhusiano na adui Mzayuni.
Habari ID: 3474629    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/02

TEHRAN (IQNA) Kwa mara nyingine, Utawala wa Kizayuni wa Israel unawazuia Waislamu Wapalestina kuingia Msikiti wa Nabii Ibrahim AS katika mji wa Al Khalil (Hebron) ulio katika eneo Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, linalokaliwa kabavu na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474497    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/31

TEHRAN (IQNA)- Sherehe kubwa imefanyika Jumatano usiku katika Ukanda wa Ghaza huko Palestina kuwaenzi wasichana na wavulana 1,000 ambao wamehifadhi Qur'ani hivi karibuni.
Habari ID: 3474489    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/29