iqna

IQNA

Kikao cha kila mwaka wachaposhaji Qur'ani Tukufu barani Afrika kinaanza Alkhamisi hii nchini Sudan.
Habari ID: 3470321    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/19

Kijana Mwislamu mwenye asili ya Afrika nchini Marekani amekamatwa na polisi kwa kushukiwa kwamba saa ya ukuta aliokuwa ametengeneza ilikuwa ni bomu.
Habari ID: 3364546    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/18

Iran itashiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu nchini Sudan.
Habari ID: 3327976    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/14

Baraza Kuu la Maulamaa wa Kiislamu nchini Sudan wametangaza kuwa ni haramu kujiunga na makundi yenye misimamo mikali ikiwemo kundila kigaidi la Daesh au ISIS.
Habari ID: 3325723    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/07

Muungano wa Vijana wa Sudan wamezindua 'Mpango wa Rehema' chini ya anwani ya: "Ramadhani Inatuleta Pamoja".
Habari ID: 3318508    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/25