TEHRAN (IQNA)- Makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada, wakisaidiwa na polisi ya utawala wa Israel, wameuuhujumu Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3473187 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/20
TEHRAN (IQNA) – Mwanaharakati maarufu wa kupigania ukombozi wa Palestina ametahadharisha kuhusu njama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3473052 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/10
TEHRAN (IQAN)- Swala ya Ijumaa imeswaliwa katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) kwa mara ya kwanza jana baada ya msikiti huo kufungwa kwa wiki kadhaa kutokana na janga la COVID-19.
Habari ID: 3472840 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/06
Malefu ya Wapalestina washiriki katika Sala ya Ijumaa Msikiti wa Al Aqsa
TEHRAN (IQNA) - Maelfu ya Wapalestina walishiriki katika Salatul Fajr katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) Ijumaa asubuhi licha ya vizuizui vikali vilivyokuwa vimewekwa na jeshi la utawala wa Kizyauni wa Israel.
Habari ID: 3472514 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/29
TEHRAN (IQNA) – Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuhujumu Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472467 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/13
TEHRAN (IQNA) – Mufti wa Waislamu wa eneo la Volgograd Oblast nchini Russia amesisitiza ulazima wa kukombolewa mji Mtakatifu wa Quds, sehemu uliko Msikiti wa Al Aqsa na kusema kutetea Quds Tukufu na Palestina kunapaswa kuwa kadhia muhimu zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa.
Habari ID: 3472234 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/27
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi na walowezi wa Kizayuni wameuvamia na kuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa na matukufu mengine ya Kiislamu.
Habari ID: 3471981 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/02
Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limethibitisha tena kwamba msikiti mtukufu wa Al-Aqsa, kibla cha kwanza cha Waislamu ni milki ya Wapalestina.
Habari ID: 3470620 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/19
Kauli mbiu ya Siku ya Misikiti Duniani
Kauli mbiu ya Siku ya Kimataifa ya Misikiti mwaka hii imetajwa kuwa ni ‘Misikiti, Mhimili wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu.
Habari ID: 3470532 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/19
Magenge ya walowezi wa Kizayuni wakiwa chini ya humaya ya askari wa utawala haramu wa Israel Jumpili wameuhujumu Msikiti wa Al Aqsa katika Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3470363 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/06
Wapalestina hii wanashiriki katika maandamano makubwa yaliyopowa anuani 'Ijumaa ya Ghadhabu' ilikulaani jina za utawala haramu wa Israel na kuunga mkono mapambano na intifadha au mwamko dhidi ya utawala huo.
Habari ID: 3462045 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/11
Makumi ya maelfu ya raia wa Morocco wamefanya maandamano makubwa mjini Casablanca kupinga hujuma za utawala haramu wa Israel katika msikiti wa al-Aqsa.
Habari ID: 3395088 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/27
Jeshi la Israel limewaua shahidi Wapalestina wapatao 46 tangu kuanza Intifadha au mwamko mpya mapema mwezi huu wa Oktoba.
Habari ID: 3390450 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/19
Jumapili wanajeshi wa utawala haramu wa Israel waliushambulia na kuuvunjia heshima tena Msitiki wa al Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu suala lililozusha mapigano makali baina ya askari hao na Waislamu waliokuwa msikiti hapo wakitekeleza ibada.
Habari ID: 3372690 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/28
Jumapili ya jana msikiti mtakatifu wa al-Aqsa kwa mara nyingine tena ulivamiwa na Wazayuni waliojumuisha wanajeshi, polisi na Wazayuni wenye misimamo ya kufurutu ada ambapo damu za makumi ya Wapalestina zilimwagwa kiholela katika tukio hilo.
Habari ID: 3362433 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/14
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuhusu udharura wa umoja baina ya Waislamu ili kukabiliana na njama hatari za utawala haramu wa Israel za kuubomoa Msikiti wa Al Aqsa katika Mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3349556 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/21
Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imeitisha kikao cha dharura cha viongozi wa nchi za Kiislamu kujadili kadhia ya Quds na Msikiti wa Al Aqsa.
Habari ID: 3339755 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/07
Vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimeuvamia Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu. Kufuatia hujuma hiyo ya mapema Jumapili asubuhi, kumeibuka mapigano baina ya polisi ya Israel na Waislamu waliokuwa ndani ya msikiti huo mtakatifu.
Habari ID: 3335481 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/26
Waislamu takribani 350,000 wameshiriki katika sala ya Ijumaa ya pili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika msikiti wa Al Aqsa katika Quds Tukufu.
Habari ID: 3320171 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/27
Mkuu wa Kamati Kuu ya Kiislamu ya Palestina amewataka Waislamu wahudhurie kwa wingi katika msikiti mtukufu wa al Aqsa wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3314849 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/16