iqna

IQNA

aqsa
Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeisitiza umuhimu wa kuhifadhi hadhi ya kihistoria na kisheria ya maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo huko al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3477482    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/22

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kamati ya Kiislamu na Kikristo inayounga mkono Quds Tukufu (Jerusalem) na Matukufu yake imetoa wito wa kuuwajibisha utawala wa Kizayuni wa Israel kwa jinai zake dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3476845    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/11

Jinai za Israel
JTEHRAN (IQNA)- umuiya ya Nchi za Kiarabu imelaani vikali hujuma ya hivi karibuni zaidi ya utawala haramu Israel dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa katika Mji Mkongwe wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel. Jumuiya hiyo pia limelaani hujuma ya kikatili ya askari wa utawala haramu wa Israel dhidi ya waumini wa Kipalestina waliokuwa katika msikiti huo kwa ajili ya ibada katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476819    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/06

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hujuma na shambulio la kinyama la vikosi vya utawala ghasibu vya Kizayuni dhidi ya waumini wa Kipalestina waliokuwa katika ibada ya itikafu katika msikiti wa Al-Aqsa kwa mara nyingine imeweka bayana sura ya kinyama na kikatili ya utawala huo na ukiukaji wa haki za binadamu.
Habari ID: 3476814    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/05

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amelaani vikali uvamizi wa wanajeshi wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3476764    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/26

Sura za Qur'ani Tukufu / 53
TEHRAN (IQNA) – Moja ya imani za Waislamu ni kuhusu safari ya Mtukufu Mtume Muhammad (SAW) kwenda mbinguni. Katika safari hii ya usiku, inayojulikana kama Mi’raj (kupanda), Mtume Muhammad (SAW) alisafiri kwenda mbinguni na kuzungumza na baadhi ya malaika, mitume wengine na Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3476353    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/03

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kamati moja ya Palestina inasema utawala haramu wa Israel unajenga makaburi bandia karibu na Msikiti wa Al-Aqsa ili kughushi ushahidi katika siku zijazo.
Habari ID: 3476056    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/08

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Al-Aqsa ya Indonesia iimelaani vikalia hatua ya hivi karibuni ya walowezi wa Kizayuni wa Israel kusherehekea mwaka mpya wa Kiyahudi katika Msikiti wa Al-Aqsa huko al-Quds (Jerusalem) na Msikiti wa Ibrahimi huko Al-Khalil (Hebron).
Habari ID: 3475855    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/29

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe mwandamizi wa ofiisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, utawala haramu wa Israel unatumia vibaya udhaifu ambao umeugubika ulimwengu wa Kiarabu na hivyo kuudhibiti mji wa Quds (Jerusalem) na msikiti mtakatifu wa al-Aqsa ulio mjini humo.
Habari ID: 3475846    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/27

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) -Walowezi wa Kizayuni wakiwa wanalindwa na askari wengi wa utawala haramu wa Israel walivamia uwanja wa Msikiti wa Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) siku ya Jumapili, na kufanya ibada za kichochezi za Kiyahudi katika eneo hilo takatifu la Kiislamu
Habari ID: 3475808    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/19

Njama za Wazayuni dhidi ya al Quds
TEHRAN (IQNA) - Taasisi kadhaa za Kiislamu mjini al-Quds (Jerusalem) zimeonya dhidi ya kuzuka kwa vita vya kidini kama uamuzi wa mahakama ya Israel ambao unaruhusu Wayahudi kufanya ibada ndani ya eneo la Msikiti wa Al-Aqsa.
Habari ID: 3475289    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/24

TEHRAN (IQNA) - Spika wa Bunge la Misri ameulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutekeleza "njama mbovu" za kuangamiza utambulisho wa Kiarabu na Kiislamu wa mji wa Quds (Jerusalem) na kuvuruga maeneo yake matakatifu ya kidini.
Habari ID: 3475281    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/22

TEHRAN (IQNA)- Makumi ya maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) pamoja na kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ulijaribu kuwazuia waumini kufika katika eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3475270    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/20

Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) nje ya nchi amesisitiza kuwa, Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) ni eneo la kidini na ni la Kiislamu kikamilifu na kwamba, wananchi wa Palestina hawataruhusu kutekelezwa njama chafu za kuliyahudisha eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3475263    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/18

Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesema, utawala wa Kizayuni wa Israel umezingirwa na wanamapambano wa Kiislamu walioko Palestina, Lebanon, Iraq na Yemen.
Habari ID: 3475212    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/06

TEHRAN (IQNA)- Balozi wa mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, kuna wajibu wa sheria za kimataifa kuulinda Msikiti wa al Aqsa ili kuzuia kutokea maafa yenye madhara makubwa.
Habari ID: 3475175    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/27

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imesisitiza kuwa, mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) pamoja na Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa Umma wa Kiislamu na amani na utulivu hauwezi kupatikana bila ya kukombolewa maeneo hayo matakatifu kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3475174    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/27

Uchambuzi
TEHRAN (IQNA)- Siku ya Ijumaa alfajiri, askari wa utawala haramu wa Israel waliwashambulia Wapalestina ndani ya Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) ambapo zaidi ya waumini 160 wamejeruhiwa. Jinai hiyo imewapa Wapalestina irada ya kuimarisha mapambano yao dhidi ya adui Mzayuni mtenda jinai.
Habari ID: 3475134    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/17

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani hujuma iliyofanywa na walowezi wa Kizayuni wakisaidiwa na askari wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa.
Habari ID: 3475129    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/15

TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel mapema leo wameuvamia Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) na kuwajeruhi waumini Wapalestina ikiwa ni katika muendelezo wa uchokozi unaotolezwa na utawala huo dhidi ya Wapalestina katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475128    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/15