iqna

IQNA

Magaidi wa kundi la ISIS au Daesh wametekeleza hujuma ya bomu na kuua watu 20 karibu na Haram ya Bibi Zainab SA katika viungo vya mji mkuu wa Syria, Damscus.
Habari ID: 3470376    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/11