zainabiya

IQNA

IQNA – Wizara ya mambo ya ndani ya Syria imeelezea mauaji ya mhubiri wa Msikiti/Haram Tukufu ya Hadhrat Zainab (SA) kuwa ni kitendo hatari, na ikaahidi kutambua na kuwawajibisha waliohusika.
Habari ID: 3482191    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/02

Magaidi wa kundi la ISIS au Daesh wametekeleza hujuma ya bomu na kuua watu 20 karibu na Haram ya Bibi Zainab SA katika viungo vya mji mkuu wa Syria, Damscus.
Habari ID: 3470376    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/11